mbu wa dengue
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 8,860
- 11,554
Gunia la USD au ZWD?
Mbona kama chuki personal nduguAzikwe angani atudondoshee mvua ya funza?
Azikwe angani atudondoshee mvua ya funza?
nadhani ni kosa kumzika mtu na maburungutu ya ela maana ni uharibifu wa nyara za serikaliMilionea wa Zimbabwe atazikwa na utajiri wake na watakaohudhuria kuvalia mavazi meupe.
Mkuu huo utafiti umeuelewa vibaya wala hauko hivyo. Ni kwamba assume mtu amepooza, ila kichwa kinafanya kazi, halafu kuna mgonjwa hawezi kupona, basi yule aliyepooza kichwa chake kinaweza kuhamishiwa kwenye ule mwili.[emoji23]mkuu,huko sasa ni nje ya mada,anyway kuna tafiti zinafanyika za kuzuia kifo,wazungu wameshafanya uhamishaji wa kichwa yani kichwa chako kinakatwa unapewa mwili mwingine hivyo basi mtu mwenye pesa atabaki kuwa na unafuu fulani siku zote,kuna yule mzee anaitwa warren buffet nadhani,angekuwa masikini yule angeshakufa zamani sana maana kafanyiwa heart transplant zaidi ya mara 2
Zimbabwe kuna uhaba mkubwa wa mafuta..Yaani mtu kuchangia msibani lita 1,000 za dizeli nalo kweli linakuwa tangazo? Kwa bongo lita 1,000 za dizeli ni kama milioni mbili tu za kibongo.
Ha ha ha [emoji23]Azikwe angani atudondoshee mvua ya funza?
Alikua ana download pesa za forex mkuuAlipataje utajiri huyu jamaa.
Hii ndiyo point sasaHawa utajiri wao umetoka nje ya Zimbabwe.hasa SA ndio walikotoa huo utajiri.