Zimbabwe Vs Tanzania : Full Time Zimbabwe 3 Tanzania 0

Ulikuwa mchezo wa kirafiki. Hautaki hasira.
Mchezo uko kalenda za Fifa tunazid kuporomoka kwa kasi

Tukipanda viwango vya Fifa itawavutia hata mawakala kuja kutafuta vipaji nchini mwetu
 
Nakumbuka enzi za Maximo cape verde kala 3 hapa kwetu

Ila wakicheza leo tunaeza kuchapwa hata 7
 
Kuna wachezaji wengi tu timu za mikoani

Nurdin Chona n beki mzuri tu

Nlikua napenda programe za Maximo kuwaita baadhi ya wachezaji hata kama hawachezi ila kuwajengea uzoefu
 
Jitihada za Maguri hukuziona au uchambuzi wako upoje?
Maguri kajitaidi kuna kichwa kimoja alipiga pia ako na uwezo wa kuhold mpira sema hakukuwa na viungo wazuri wa kupiga pasi za mwisho.

Hata kipindi cha pili sammata alijitaidi ila ilibid kuja kuchukua mipira katikati na kukimbia nayo
 
Mkwasa alidhani anacheza Cuf/cecafa na hivyo sub haizidi tatu kama kanuni zinavyotaka, kumbe ni Friend Match!
 
Mkwasa alidhani anacheza Cuf/cecafa na hivyo sub haizidi tatu kama kanuni zinavyotaka, kumbe ni Friend Match!
mlaumuni muhaya,aliemfukuza kim polsen akamleta masharubu nooij kisha mkwasa,angemwacha polsen tungecheza AFCON mwakani,mchezo wa mu.ha.ya ni katerero,mpira wapi na wapi
 
Nchi ina zaid ya raia 45+million cha ajabu tunashndwa kupata watu 11 tu kat ya hao wte, yan ktk million 4 hamna mchezaj mmoja mweny kpaj haswa, ajabu la nane la dunia ni hili hapa limepatkana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…