BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,591
- 8,826
Wizara ya Madini na Maendeleo imesema mauzo yote ya Madini ya Lithiam nje ya Nchi yamesitishwa baada ya Uchunguzi kuonesha kuna upotevu wa Tsh. Trilioni 4.2 kila mwaka kutokana na kuuzwa kama Madini Ghafi badala ya kutengeneza Betri halisi.
Lithium inayofahamika kama Dhahabu Nyeupe hutumika kuunda Betri za Simu, Magari, Kompyuta Mpakato, Sola na vifaa vingine vya Kielektroniki, imepanda bei kwa 1,100% katika kipindi cha miaka miwili huku nchi hiyo ikitajwa kuwa na akiba inaweza kutosheleza mahitaji ya dunia kwa 15%.
===============
Zimbabwe has banned all lithium exports after the government said it was losing 1.7 billion euros from exporting it as a raw mineral and not processing it into batteries in-country.
Lithium is so valuable as a component of electronic batteries - mostly for cars mobile phones and computers - that it’s known as “white gold.” The price has gone up by 1,100 percent in the past two years alone.
Zimbabwe has the largest amount of the mineral in Africa and has enough of it to supply a fifth of the world’s needs, the government says.
Whilst it’s on track to become one of the world’s largest lithium exporters, the government says it should start its own battery industry rather than allow foreign companies to dominate battery production.
If it succeeds it will mark a sea change for Zimbabwe's economy.
Like many other mineral-rich African states, it has allowed its raw minerals to be extracted by multinationals for decades without developing local industries that could process them, and create many jobs.
The Zimbabwean Ministry of Mines and Mining Development said it would also clamp down on the artisanal miners digging up lithium and smuggling the mineral across borders.
AFRICA NEWS