Zimbabwean President is giving away the Country to the same settlers who Colonised it

Zimbabwean President is giving away the Country to the same settlers who Colonised it

Kulikuwa na agreement ya mgawanyo wa ardhi uliokuwa umekubalika na waingereza (Lancaster House Agreement) na ndio wangetoa pesa kuwalipa wenye ardhi. kwa mf. kama una heka 3000 ungetoa heka 1000 kwa seriakali na kugawiwa wananchi na mwenyewe utalipwa na Serikali ya Uingereza. Kilichotokea hayo makubaliano hayakufanyika kwa wakati. Sasa baada ya kutokea chama cha upinzani chenye nguvu (MDC) hawa wazungu wakawa wana support hiki chama, na kama mjuavyo, chuki za siasa za Afrika, Mugabe akafanya kama kuwa adhibu na akaona atumie force kuwanyanganya mashamba yao na kuwagawia rafiki zake na watu wa kabila lake. Kilikuwa ni kilio kwa wazungu na ukisema waliacha laana inaweza kuwa kweli kwa sababu from there, uchumi wa Zimbabwe ulinza kwenda chini na mpaka sasa hivi hali ni mbaya sana usiombe.
 
Huo utaifishaji alioufanya Mugabe uliwanufaisha zaidi familia yake, wanasiasa wenzake na maafisa wa ulinzi na usalama ndio maana hata baadae walishindwa kuyaendeleza ila nchi yake leo ndio inalipia uovu huo tena wananchi wa kawaida ndio watabebeshwa huo mzigo.
 
Aisee. Na sisi tulipata laana nini tulipochukua mali za mabeberu mwaka 1967.
Nchi imebaki maskini hadi leo pamoja na rasilimali zote ilizonazo hadi marais wanaokuja na kuondoka eti wanasema hawajui kwa nini nchi ni maskini. Very shameful.
 
Ni kwamba uchumi umekwama, walijimilikisha wakifikiri ni rahisi mno kuyaendesha...
Beberu anafanya biashara na beberu!
Watarudi wenye export sasa!

Ubinafsi, uchoyo na roho za kimaskinii za viongozi wa kiafrika...

SA wameuona huo upepo, TZ ilifeli, Zim imefeli. Hawawezi kamwe kufanya huo upuuzi. Namib, Swatna hivyo hivyo..

Everyday is Saturday............................😎
Tanzania hatukufikia level ya zimbabwe , wazungu wakoloni wengi waliamua kuweka makazi yao Afrika baada ya wimbi la kudai Uhuru kutulia , kumbuka Miaka ya 1960 kulikuwa na wimbi la nchi nyingi kudai Uhuru ,
Kisheria wazungu wa Zimbambwe ,Namibia na south Africa ni raia halali kabisa wa nchi hizo, kilichofanywa na Mugabe ulikuwa ni ubaguzi wa rangi but in a negative normal way
 
Bora,maana hao Wazimb wenyewe wavivu. Walishindwa endeleza ardhi.
 
Huo utaifishaji alioufanya Mugabe uliwanufaisha zaidi familia yake, wanasiasa wenzake na maafisa wa ulinzi na usalama ndio maana hata baadae walishindwa kuyaendeleza ila nchi yake leo ndio inalipia uovu huo tena wananchi wa kawaida ndio watabebeshwa huo mzigo.
Sahihi , Kuna kitu kingine pia , watu wa kabila lake Tshonas waliamini anachofanya Mugabe nao watanufaika pia, nilikua na rafiki yangu pale Harare , alikuwa anjihakikishia safe heaven kwa vitendo vya whites kuporwa Mali zao , infacts Tshonas walikuwa very loyal kwa Mugabe hata Mambo yalipokuwa yanaharibika , ndo sababu pia wahamiahi haramu kuelekea south Africa mostly walikuwa ndebeles na vikabila vidogo vidogo
 
Bora,maana hao Wazimb wenyewe wavivu. Walishindwa endeleza ardhi.
Sio wavivu ni system ya ubebari ilivyo , kilimo Kuna fanywa kwa mtaji mkubwa na ni investment ya pesa nyingi
Tushukuru Ujamaa wa mwl nyerere pamoja na mapungufu yake ndio umetufanya tu kulima na jembe la mkono,na kujikimu vitu vidogo vidogo
 
Sio wavivu ni system ya ubebari ilivyo , kilimo Kuna fanywa kwa mtaji mkubwa na ni investment ya pesa nyingi
Tushukuru Ujamaa wa mwl nyerere pamoja na mapungufu yake ndio umetufanya tu kulima na jembe la mkono,na kujikimu vitu vidogo vidogo
Uvivu,period. Nawajua vizuri Wazim.Nimesoma kule. Wameachiwa mashamba yamestawi kabisa. Ila yakafa. Walishindwa hata kulima na kutuuzia Africans wenzao. Maana mtasingizia walipigwa pin kuuza Ulaya na US.
 
Back
Top Bottom