kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
- Thread starter
- #41
Tuanze kuhesabu wote, haya tuanze na ile aliyopewa dhidi ya TP, endelea na nyingine.......Tupe facts toka ameanza kucheza ligi kuu amecheza michezo mingapi amepata kadi njano ngapi ns kadi nyekundu ngapi kisha tupe wastani
Vinginevyo una wivu tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekwambia marefa wetu wanazibeba Simba, Yanga, viongozi wa TFF, mo na........ wa nchi. Refa akishajua kiongozi fulani yuko timu gani basi maamuzi yatayumba.