hawa wajasilia mali... waache wapambane na TRA, hacha wamsaidie mkulu kutafuta kodi zilipo... mkulu atafurahi, usishangae akapiga simu kumpongeza... na kutafuta kujitakasa zaidi mbele za watu huku akiwa kwenye nyumba nyeupeWatamlipa Zari kiasi gani kutokea kwenye hayo?
Memba mpya...
Nimevutiwa na hii habari sasa ikanibidi nijitambulishie humu humu.karibu,mbona umepitiliza hadi chumbani mkuu?
Ehh Maulana Mola wangu tuna deal na nini hii walahiMkuu, wewe angalia hayo maslahi. jamaa yuko jukwaa la burudani, unataka waandike nini humu?
Nimevutiwa na hii habari sasa ikanibidi nijitambulishie humu humu.
Ila nisamehewe tu.
Shukrani.Karibu mkuu usijali.
Delila yule alimwaxha Samson kwa kumuuzando wale Samsoni na Delillah wa kwenye bible!
hawa wajasilia mali... waache wapambane na TRA, hacha wamsaidie mkulu kutafuta kodi zilipo... mkulu atafurahi, usishangae akapiga simu kumpongeza... na kutafuta kujitakasa zaidi mbele za watu huku akiwa kwenye nyumba nyeupe