Uchaguzi 2020 Zimebaki siku 31 za kupiga kampeni, sijamuona Makonda akiwanadi wagombea wa CCM

KASUSA kwa kukatwa uRC, Ubunge na kukataliwa kukaa jukwaa la wahuni wenzie.

 
Mmemsahau yeye huwa mtu wa kufaidi jasho la wenzake tu. Acha wahangaike na campaign shavu lake lipo.
 
Ungekuwa mgombea ungekubali akunadi jukwaani?
 
Yuko na mwana Kawe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…