Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,620
- 27,589
Wewe ni chura tuuuMkuu jina Ochumera lilitaka kufanana na jina chura! [emoji1][emoji1][emoji1][/b]
Kumbe...lakini ni viumbe wenzetuHahahahaa.. mende wachafu bwana
Mke wangu kama sio member wa jf anaruhusiwa?, na je mtatumia vigezo gani kumtambua kama ni member wa jf?African House Lounge Kinondoni
Nakuja kunywa Jagermeister... na muda kweli haijapita kooniAliyekuwa Dodoma.
Aje kunywa
Bili juu yangu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwahyo ulitaka kushangaa kwamba chura mwenyewe kareply hapa haahaa
Utakuwa umeenda kuhesabiwa, pole sana kwa kuikosa hiyo...Ushiriki wako ni muhimu mkuu au huwezi ahirisha kwenye hesabu mwaka huu
[emoji23][emoji23] naenda kutambika kwanza kabla ya namba. Nikirudi mjini mwakani mizimu ya kwetu ilete baraka na mafanikioKwenye namba mbona unawahi hivyo?? au unaenda kuandaa ndizi za mbege?
Njoo SeriousNakuja kunywa Jagermeister... na muda kweli haijapita kooni
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Huna akili ujue
Mkuuuu upo viZur....[emoji23] [emoji23] [emoji23]Ongezea na Vladimir vodka
Rafiki mambo?Sherehe njema
Basi usisahau kutuombea sisi tutakaoshiriki[emoji23][emoji23] naenda kutambika kwanza kabla ya namba. Nikirudi mjini mwakani mizimu ya kwetu ilete baraka na mafanikio
Shangazi hadi huku unafika?!Wewe ni chura tuuu