moodykabwe
JF-Expert Member
- Aug 16, 2015
- 625
- 602
Swali la msingi sana hiliLini lilikuwa na heshima kwenye michezo?
Hatarudi tenaLini lilikuwa na heshima kwenye michezo?
Yanga ilipotwaa Kombe la Club Bingwa Africa Mashariki na Kati kwenye Ardhi ya Ugenini wakati huo mpira unapigwa haswa.Lini lilikuwa na heshima kwenye michezo?
Mikia wanaamini sana uchawi na wapo radhi kutoa Wanachama wake kafaraPoleni nyie mnaoangaika na soka la fitna na ulonzi.
Timu hazishindi mpaka mloge!
Sent using Jamii Forums mobile app
😁😁😁Zimebaki siku chache tu Taifa liingie kwenye aibu kubwa kimichezo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawachelewi😁😁😁Mikia wanaamini sana uchawi na wapo radhi kutoa Wanachama wake kafara
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu alikuwa bado hajui kitu kuhusu mpiraYanga ilipotwaa Kombe la Club Bingwa Africa Mashariki na Kati kwenye Ardhi ya Ugenini wakati huo mpira unapigwa haswa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ipo siku watamtoa kafara yule msema ovyoMikia wanaamini sana uchawi na wapo radhi kutoa Wanachama wake kafara
Sent using Jamii Forums mobile app
Akikujibu nitag niko zangu huku natafuta mkate wanguLini lilikuwa na heshima kwenye michezo?
Yanga ilipotwaa Kombe la Club Bingwa Africa Mashariki na Kati kwenye Ardhi ya Ugenini wakati huo mpira unapigwa haswa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Msamehe bure atakuwa mgeni kwenye michezo bongoLini lilikuwa na heshima kwenye michezo?
1993 fainali ilichezwa Nakivubo Uganda zidi ya Club Sport Villa,na wakarudia tena 1999 Nchini Uganda zidi ya Villa. Ni Timu pekee ya Tanzania iliyonyakua makombe mara nyingi nje ya Ardhi ya Tanzania ambapo Mikia hawajawahi kujaribu hata mara moja.Mwaka gani na ardhi ya nchi gani hiyo mkuu na ilimfunga nani?
Wachawi huwa wanajuanaMikia wanaamini sana uchawi na wapo radhi kutoa Wanachama wake kafara
Sent using Jamii Forums mobile app
1993 fainali ilichezwa Nakivubo Uganda zidi ya Club Sport Villa,na wakarudia tena 1999 Nchini Uganda zidi ya Villa. Ni Timu pekee ya Tanzania iliyonyakua makombe mara nyingi nje ya Ardhi ya Tanzania ambapo Mikia hawajawahi kujaribu hata mara moja.
Sent using Jamii Forums mobile app
Na kweli hao Mikia FC wana shida sana.Ipo siku watamtoa kafara yule msema ovyo