Zimwi la tukio la Mwanza bado linaiandama Simba

Zimwi la tukio la Mwanza bado linaiandama Simba

SAYVILLE

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2010
Posts
7,895
Reaction score
12,975
Watu wengi hawana upeo wa kuconnect dots kwa hiyo ngoja niwasanue jambo.

Kuna lile tukio lililotokea kule Mwanza lililomuhusisha Mkuu wa Mkoa wa Mwanza aliyejaribu kutumia mamlaka yake vibaya hadi kuzua taharuki kubwa.

Tukio lile halikuwapendeza baadhi ya watu wanaodhani na kuamini wana mamlaka na nguvu fulani fulani nchi hii kwa hiyo bado walibaki na vinyongo wakajiapiza watawanyoosha baadhi ya watu hadi watambue nani ni nani.

Ukiacha tukio la jana na leo la derby ya Simba na Yanga, kuna matukio yasiyopungua mawili yametokea ingawa wengi hawakuyagundua na hawakujiuliza maswali. Binafsi nayaconnect matukio yale na tukio lile la Mwanza.

Jana wakati Simba inazuiwa kuingia uwanjani kufanya mazoezi ya mwisho kabla ya derby iliyokuwa ichezwe leo, mamlaka za ulinzi zilikuwepo pale uwanjani.

Kuna watu waliovaa nguo za kiraia waliohusika na kuzuia huko ambao sasa hivi kuna watu wanawakana kuwa siyo makomandoo wa Yanga ila cha ajabu hatukuona Polisi wakiwafukuza, kuwakamata wala kuwachukulia hatua zozote zile wale watu. Kwa maana hiyo ni watu waliokuwa wametambulika kuwa walistahili kuwa pale.

Kilichofanyika jana ni kuiambia Simba, nyie si kule Mwanza mliona sisi hatuhitajiki kuwepo uwanjani, sasa likitokea la kutokea msituulize sisi. Hali haitatulia kamwe hadi mbuyu utakapoangushwa. Mengine mtajiongeza wenyewe.

Mpira wetu unaharibiwa na siasa.
 
CCM Ndio inapenda vijana Wa Tanganyika waweke nguvu zao huko kwenye simba Na YANGA".

Great Thinker
.

Leo Tutaona Nyuzi za Simba na Yanga zaidi ya elfu 60 humu jukwaani.

TUKIWAAMBIA KUSHABIKIA SANA SIMBA NA YANGA ZINAANZA KUPUNGUA KICHWANI HAMUELEWI
 
Ulikua mpango uliosukwa kukimbia mechi hakuna kingine hapa. Imagine unafungwa mara ya tano mfululizo wakati timu ikiwa form. Viongozi wangekosa cha kujitetea sasa wakaja na excuse ya kitoto sana. Mashabiki nao wamefall humohumo
 
Kuna siku huu uzi mtakuja kuutumia kama rejea. Mtakuja kuona na kusikia mengi.
 
Watu wengi hawana upeo wa kuconnect dots kwa hiyo ngoja niwasanue jambo.

Kuna lile tukio lililotokea kule Mwanza lililomuhusisha Mkuu wa Mkoa wa Mwanza aliyejaribu kutumia mamlaka yake vibaya hadi kuzua taharuki kubwa.

Tukio lile halikuwapendeza baadhi ya watu wanaodhani na kuamini wana mamlaka na nguvu fulani fulani nchi hii kwa hiyo bado walibaki na vinyongo wakajiapiza watawanyoosha baadhi ya watu hadi watambue nani ni nani.

Ukiacha tukio la jana na leo la derby ya Simba na Yanga, kuna matukio yasiyopungua mawili yametokea ingawa wengi hawakuyagundua na hawakujiuliza maswali. Binafsi nayaconnect matukio yale na tukio lile la Mwanza.

Jana wakati Simba inazuiwa kuingia uwanjani kufanya mazoezi ya mwisho kabla ya derby iliyokuwa ichezwe leo, mamlaka za ulinzi zilikuwepo pale uwanjani.

Kuna watu waliovaa nguo za kiraia waliohusika na kuzuia huko ambao sasa hivi kuna watu wanawakana kuwa siyo makomandoo wa Yanga ila cha ajabu hatukuona Polisi wakiwafukuza, kuwakamata wala kuwachukulia hatua zozote zile wale watu. Kwa maana hiyo ni watu waliokuwa wametambulika kuwa walistahili kuwa pale.

Kilichofanyika jana ni kuiambia Simba, nyie si kule Mwanza mliona sisi hatuhitajiki kuwepo uwanjani, sasa likitokea la kutokea msituulize sisi. Hali haitatulia kamwe hadi mbuyu utakapoangushwa. Mengine mtajiongeza wenyewe.

Mpira wetu unaharibiwa na siasa.
Na nyinyi mpunguze sasa kuwanga! Mpaka CAF waliwahi kuwapiga faini kwa sababu tu ya vitendo vyenu vya kishirikina.
How come muende kufanya mazoezi ya mwisho uwanjani huku mkiwa hamjatoa taarifa kwa wahusika wa huo uwanja?
 
Watu wengi hawana upeo wa kuconnect dots kwa hiyo ngoja niwasanue jambo.

Kuna lile tukio lililotokea kule Mwanza lililomuhusisha Mkuu wa Mkoa wa Mwanza aliyejaribu kutumia mamlaka yake vibaya hadi kuzua taharuki kubwa.

Tukio lile halikuwapendeza baadhi ya watu wanaodhani na kuamini wana mamlaka na nguvu fulani fulani nchi hii kwa hiyo bado walibaki na vinyongo wakajiapiza watawanyoosha baadhi ya watu hadi watambue nani ni nani.

Ukiacha tukio la jana na leo la derby ya Simba na Yanga, kuna matukio yasiyopungua mawili yametokea ingawa wengi hawakuyagundua na hawakujiuliza maswali. Binafsi nayaconnect matukio yale na tukio lile la Mwanza.

Jana wakati Simba inazuiwa kuingia uwanjani kufanya mazoezi ya mwisho kabla ya derby iliyokuwa ichezwe leo, mamlaka za ulinzi zilikuwepo pale uwanjani.

Kuna watu waliovaa nguo za kiraia waliohusika na kuzuia huko ambao sasa hivi kuna watu wanawakana kuwa siyo makomandoo wa Yanga ila cha ajabu hatukuona Polisi wakiwafukuza, kuwakamata wala kuwachukulia hatua zozote zile wale watu. Kwa maana hiyo ni watu waliokuwa wametambulika kuwa walistahili kuwa pale.

Kilichofanyika jana ni kuiambia Simba, nyie si kule Mwanza mliona sisi hatuhitajiki kuwepo uwanjani, sasa likitokea la kutokea msituulize sisi. Hali haitatulia kamwe hadi mbuyu utakapoangushwa. Mengine mtajiongeza wenyewe.

Mpira wetu unaharibiwa na siasa.
Hata kwenye harusi ukienda bila kutoa taarifa utazuiwa. Ni mjinga tu anayekubaliana na ujinga wa Simba
 
Hata kwenye harusi ukienda bila kutoa taarifa utazuiwa. Ni mjinga tu anayekubaliana na ujinga wa Simba
Bwana Harusi anampa nani taarifa ya kwamba anaenda kwenye harusi yake? Kuna siku mtaizuia Simba kucheza mechi yake ya ligi kisa haikutoa taarifa kuwa inakuwa kucheza mechi.
 
Kuna siku huu uzi mtakuja kuutumia kama rejea. Mtakuja kuona na kusikia mengi.
Wewe jamaa una akili ndogo kwelikweli mmkuu. Hivi ulianza lini na wapi kushabikia mpira wa simba na yanga!?
 
Back
Top Bottom