Zinaa imekithiri, magonjwa yameongezeka sana

Mbona vipimo vya korona na homa ya ini hujaweka mzee
 
Ishaletwa humu jana tu! Anyways asante kwa kutukumbusha [emoji120]
 
Tunalaumiwa wanaume tu utafikiri hiyo Zina tunafanyaga na nungunungu!!
Na ukweli ni kwamba wanawake wenyewe ndio wepesi kuliwa bila ndom unakuta kashaichomeka 🤣🤣🤣😝😝
 
Mzee huyu mleta uzi amewaka [emoji38][emoji38][emoji38] hili hatutaki mjadara . Akubali tu kusema Kama amewaka yeye asizani wote ...na rafu alizo kuwa anacheza kwenye hayo matundu anayo yakandia asizani wote tunacheza Kama yeye [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
Pointless...yaan nitumie damu yang mm na wakat n negative..ushaona wap mwenye ukimwi akijionesha anao bali wachache ndo wanajtokeza kwa media wengi wao waathirika wamejificha...
Mmoja wa hao wachache ni wewe umejitokeza jamii forum
 
Risk takers
 
Unaonekana ni mgeni hapa mjini..unaijua covid wewe
 
N plastic ee.. Hujapima toka uzaliwe hapo ulipo unaogopa kupima sabab unajua n mashimo mangap umezama bila viatu
Usimjudge mtu kiasi hikoo mkuu,huwezi jua mienendo ya mtu adi ufikie hatua ya kumwambia kauli hio,how do we know that your also safe dear as u doubting on others?
 
For sure mkuu na pia anajudge watu kua hawajiamini na wanamakando kando wakapime kwani yeye alishaweka cha kwake apo????
 
Vitombi vinavyojitetea sasa!! Endeleeni tu kujisifia ujinga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…