uwe hodari
JF-Expert Member
- Dec 16, 2022
- 4,045
- 8,608
Kiburi cha Zidane kimemtokea puani
Rais wa ufaransa Emmanuel Macron kuelekea mechi ya fainali ya kombe la Dunia kule bara la asia kati ya ARGENTINA na Ufaransa alitoa ndege kwa watu maarufu kwenye mpira wa ufaransa kuungana naye kwenda kuangalia fainali bwana zidane na benzema wakamletea dharau wakakataa kuungana naye
Kina ngolo na wenzake wakakubali kwenda kuangalia fainali
Sasa mamlaka za soka ufaransa zikamuonyesha kuwa yeye ni mtu mdogo na asiyekuwa na umuhimu kwa ufaransa bahati ikamuangukia tena deshamps akaongezewa mkataba
Wafaransa wanasema yale maneno aliyotamkiwa zidane na materazi yalikuwa ya kweli
Zidane kwa wakati tofauti aliwahi kukataa ofa za kunoa Manchester United,Psg na timu zingine kwa kigezo cha kusubiri kuwa kocha wa timu ya taifa ya ufaransa
Tuungane kumlaani huyu Zidane amekosa hekima na akili
Mjinga huyu aende sasa akafundishe algeria
Rais wa ufaransa Emmanuel Macron kuelekea mechi ya fainali ya kombe la Dunia kule bara la asia kati ya ARGENTINA na Ufaransa alitoa ndege kwa watu maarufu kwenye mpira wa ufaransa kuungana naye kwenda kuangalia fainali bwana zidane na benzema wakamletea dharau wakakataa kuungana naye
Kina ngolo na wenzake wakakubali kwenda kuangalia fainali
Sasa mamlaka za soka ufaransa zikamuonyesha kuwa yeye ni mtu mdogo na asiyekuwa na umuhimu kwa ufaransa bahati ikamuangukia tena deshamps akaongezewa mkataba
Wafaransa wanasema yale maneno aliyotamkiwa zidane na materazi yalikuwa ya kweli
Zidane kwa wakati tofauti aliwahi kukataa ofa za kunoa Manchester United,Psg na timu zingine kwa kigezo cha kusubiri kuwa kocha wa timu ya taifa ya ufaransa
Tuungane kumlaani huyu Zidane amekosa hekima na akili
Mjinga huyu aende sasa akafundishe algeria