Zinamwagwa ndani ukeni, kisha zote zinachuruzika kutoka.

Hii ishu siyo kweli ni assumption ambayo ilishafanyiwa kazi na kuonekana haiwezekani.
 
mmmh.... haya Saint
 
mmmh.... haya Saint
AaaWE! Saint. Usichapiechapie majibu.Iko hivi: Akiwa kwenye siku zake (ashakum si matusi) au anableed ni kipindi ambacho nyumba ya uzazi (Uterus) inajisafisha kutokana na kutotungwa mimba. Yaani yai(Ovum) ambalo halikurutubishwa linaharibika na linatoka pamoja na ukuta uliotarajiwa kuendeleza mimba kama yai hilo lingerutubishwa.Kwa hiyo Mwanamke akiwa kwenye siku zake hawezi kushika mimba ila anavaa pedi, si unazijua aisee? Siku hizi wanazitupa hovyo njiani baada ya matumizi ni uchafu.
 
Wengine tukishamaliza, tunachuchumaa zitoke zote!
 
Write your reply...Aisee hili tatizo hata demu wangu analo,unamwaga uji lkn baada ya muda huwa inachuruzika na kutoka nje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…