No.4:siri ya ushindi ni wadau wangu walonisaidia kukampeni na mie mwenyewe kwenda some extra miles.napenda kuwatambua wadau wachache akiwemo mkuu Mwita Maranya, manoah, mathematics Grenade, mamito snowhite, Madame B,..nashukuru kwa sapoti yenu!
No.8:Sijaolewa na sina mtoto.Kuhusu kuwa na mpenzi niseme tu its complicated!
No.9:Tukio la kuondokewa na mama yangu kipenzi (Mungu amlaze pema) zikiwa zimebaki siku 10 nimalize elimu ya msingi.Ni tukio lililoumiza moyo wangu na kuyabadili maisha yangu kwa sehemu kubwa.
No.9:Tukio la kuondokewa na mama yangu kipenzi (Mungu amlaze pema) zikiwa zimebaki siku 10 nimalize elimu ya msingi.Ni tukio lililoumiza moyo wangu na kuyabadili maisha yangu kwa sehemu kubwa.
No. 10: Kutunikiwa shahada yangu ya kwanza....Ilikuwa siku niliyotimiza ndoto ya marehemu mama yangu!
Kwenye bold, fafanua please.
Au unamaanisha ulishawahi kutendwa?