Nicole
JF-Expert Member
- Sep 7, 2012
- 4,274
- 2,519
No.3:Katika hatua za mwanzo kwenye kupendekeza majina ya washiriki wa miss chit chat nilimpendekeza shosti wangu wa ukweli lara 1,hata nilipoulizwa kwanini sijipendekezi nilijibu wakati wangu bado,wadau walinipendekeza na katika hatua ya nusu fainal baada ya kuona nimepata mwitikio mkubwa, ndipo nilipoamua kujitosa mazima.kiukwel naona fahari moyoni na hili shindano limenisaidia kujitambua.shukrani kwa waandaaji na wadau wote mlioshiriki.
Last edited by a moderator: