Kwa hiyo ulipiga chabo
Kumbe wewe ni M4C
Sikuwahi ku-do kwani tulikuwa twacheza na anko angu aliyenizid 4years,ila yeye aliwahi ku-do na nikamshtakia nyumbani akaadhibiwa.
inamaana staili yoyote wewe kwako ni sawa tu au unamaanisha nini!?
Hongera sana ciello nimependa unavyo jibu maswali safi sana kwa kufunguka!
NB: swala la tuhuma za kutoa rushwa lisikusumbue maana hakuna aliye weka ushahidi mezani hadi sasa!
subiri zinduna nimalizie haka kamoja tu shost nakujaMbona hapa siwaoni: kitalolo, Erickb52, Mungi, Arushaone, Preta, marejesho, @Mr. Rocky, Lizzy, Erotica, cacico, gfsonwin, snowhite, Smile, Kipipi, nivea, lara 1, charminglady, @c6, King'asti, Madame B, MadameX, Bujibuji, Asprin, MziziMkavu, BADILI TABIA, nyumba kubwa na wana Chit Chat maarufu humu.
Hebu njoooni jamani tushiriki kwenye kipindi hiki adhimu.
No.4:siri ya ushindi ni wadau wangu walonisaidia kukampeni na mie mwenyewe kwenda some extra miles.napenda kuwatambua wadau wachache akiwemo mkuu Mwita Maranya, manoah, mathematics Grenade, mamito snowhite, Madame B,..nashukuru kwa sapoti yenu!
Malkia wetu kumbe ulikuwa mnoko eeh? Nadhani sasahivi umebadilika ukimuona tena hutamsemea!
hongera Ciello.
Hivi miw mbona sijawahi kushinda? Kuna rushwa hapa, iundwe kamati kuchunguza.
Hahahahaaaa chake kime expire by defaultnawewe toa kipochi utamu uone kama raha ya ushindi.
Hivi we ni ME au KE?subiri zinduna nimalizie haka kamoja tu shost nakuja
No.13:Nilipomaliza kidato cha sita, nilikwenda kujitolea kufundisha physics na mathematics shule moja vijijini,walikuwa hawana walimu na mazingira ya huko yalikuwa yanakatisha tamaa,ila nilijitoa kwa miezi 4,walikuwa wananipa malazi, chakula na posho ya nauli tu.