Ngaliba Dume
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 1,710
- 3,681
Vp unapenda kuja kuwa Mama wa aina gani?na je kuna mapungufu gani ya kibinadamu uliyaona kwa Mama yako ambyo we hupendi kuyarudia ukiwa Mama?una mambo gani ya kujifunza kutoka kwa Baba yako ambayo ungependa mumeo awe nayo?
Kwa tz:dr asha rose migiro,kwa wenzetu:Condoleezer rice