No.9:Tukio la kuondokewa na mama yangu kipenzi (Mungu amlaze pema) zikiwa zimebaki siku 10 nimalize elimu ya msingi.Ni tukio lililoumiza moyo wangu na kuyabadili maisha yangu kwa sehemu kubwa.
nipo mamii Zinduna si unajua leo jmosi shurti mttoto wa kike kufanya usafi wa kufumua fumu vitu ,kisha kukoga HASA!kuandaa staftahi ya maana kweli kweli si unazijua zile za mama yupo leo!basi nikachelewa kuingia humu!ILA HONGEAR SANA KWA mamduchu wangu Ciello NIMEFURAHI SANA !Mbona hapa siwaoni: kitalolo, Erickb52, Mungi, Arushaone, Preta, marejesho, Mr. Rocky, Lizzy, Erotica, cacico, gfsonwin, snowhite, Smile, Kipipi, nivea, lara 1, charminglady, @c6, King'asti, Madame B, MadameX, Bujibuji, Asprin, MziziMkavu, BADILI TABIA, nyumba kubwa na wana Chit Chat maarufu humu.
Hebu njoooni jamani tushiriki kwenye kipindi hiki adhimu.
Pole sana, ni mapenzi ya Mungu, na kazi yake haina makosa.
je ni jambo gani muhmu maishani ulijifunza baada ya kifo cha mama.
Ndoto ya mama yako ilikuwa ni wewe kutunukiwa shahada, Je ndoto yako ni nini?
Zinduna nipo mama...nilikuwa nangoja Kipipi wangu amalize kuniandalia matunda nipate hamu ya maswali...sasa tuko poa!
Swali kwa cielo
1. Muda mwingi uko JF unachat je unafanya kazi sangapi? Je unadhani unalitumikia taifa kama unavyopaswa? Je ni sahihi kutokuwa mbunifu wa kazi nyingine kuliko kuchat kisa uko free?
2. Kwa kuwa uko na kazi...je umeachana na tabia za wadada na wamama kuwa wategemezi kwa wanaume hata kama wana uwezo?
3. Je utajisikiaje nikikukubalia ombi lako la kuwa na mimi nje kidogo ya Arusha?
mamduchu pamoja sana !kumbe nilifanya la maana enh!ningeumia sana ungekosa mwaya !
Kwako Ciello
Je wewe huvaa chupi? Na kama una vaa unavaa saizi ngapi na hupendelea rangi gani?
Sawa kwa kuwa uko likizoUmekuwa unanistalk eeeh!niko likizo kwa sasa ingawa inaelekea ukingoni,so nimetumia muda huo kutravel na kuchat.kuutendaji niko vizuri aseee mwenyewe najikubali.kuhusu ofa yako siko arusha kwasasa !
Your role model?
Swali lanyongeza Mheshimiwa thpika ,nasikia rumaz eti ciello ana mahusiano ya karibu na mheshimiwa zungu na jana wameonekana wakiwa pamoja maeneo ya takakuru upanga? Kama ni kweli who taught who what?