Ngaliba Dume
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 1,710
- 3,681
Kwa tz:dr asha rose migiro,kwa wenzetu:Condoleezer rice
Sawa kwa kuwa uko likizo
Swali: Hebu nipe upeo wa hawa jamaa kwenye picha ya chini hasa anayeuliza swali!
View attachment 70237
Vp unapenda kuja kuwa Mama wa aina gani?na je kuna mapungufu gani ya kibinadamu uliyaona kwa Mama yako ambyo we hupendi kuyarudia ukiwa Mama?una mambo gani ya kujifunza kutoka kwa Baba yako ambayo ungependa mumeo awe nayo?
Nitajie hata rangi mama niridhike roho yangu, vp na zile za mikanda unavaa?
Hahahaa Ruttashobolwa umeamka?Si bule hapa Erick B 52 kuna kitu ana kitafuta yani kaganda kwenye huu uzi hata chai hajanywa!
Unahisi baba hakuwa muaminifu?looh!umehisije?
Oooh samahani aiseeWewe sweetylady anakuhusu nini?
Heheheee ila sio kama wewe! Yan katika watu waloingizwa mjini na wewe ni kiongozi wao aisee yan chaka mbayaUliingizwa mjini kaka
Alikuwa mjanjamjanja flan!