Teh teh teh teh teh!
Halooooo....
Ye alivokuwa ananiuliza,alitegemea nini?
Afu alikuwa kanywea maskini ya Mungu.
Sijui alikuwa anataka nini.
Babu DC Nisaidie kumuuliza Erickb52.
Achana naye....kama huwezi kumpa tiba mwache tu,
Experience is the best teacher.....
Akishakua atajua tofauti ya picha zinazotembea na zile za mndato..ingawa zote zinaitwa picha!!
Babu DC!!
Madame B hujambo?
Sijambo,shikamoo.
Hivi wewe Madame B, hunaga mahali pa kucheka, kulia au kushangaa?
Sasa hapo kimekuua nini? Ukizingatia babu mwenyewe ni nyuki wa bucha...a.k.a retired?
Babu DC!!
Tatizo la nyuki wa bucha huwezi jua kashiba lini na ana njaa lini. Nimesema tu kwa tahadhari babu.
Sasa kama hawezi kung'ata, wasi wasi wa nini??
Au mie ndo nashindwa kusoma alama za nyakati?
Babu DC!!
Sijambo,shikamoo.
Sawa...
Swali la 3:
Je Ulifahamuje kuhusu tendo la kujamiiana? Yaani ni nani alikufundisha kwamba hiyo kitu downthere ina matumizi mengine mbali na yale ya kutabawali (Kujisaidia)?
Sawa...
Swali la 3:
Je Ulifahamuje kuhusu tendo la kujamiiana? Yaani ni nani alikufundisha kwamba hiyo kitu downthere ina matumizi mengine mbali na yale ya kutabawali (Kujisaidia)?
Dark City Mambo vp? Duh! Upo ile anga yetu ama umeshang'oa nanga?
aaahhh mie nakusalimu tu huby wangu, lol!Rudi nyuma shetani, asema Yesu.
Bado nipo kaka LiverpoolFC,
Ila naona umenitenga mkuu wangu....
Ngoja niombe hifadhi kwa mama wa nyumba, Blaki Womani, kwa ruhusa ya M/Kiti PakaJimmy,
Babu DC!!
Hahahahhahahahahhahahah,
Hapa ndipo utakapotofautisha mtoto wa Mwahako, Makorora, Kwa Minchi, Mbagala, Kiwalani na yule aliyetoka kule kwetu Unyantunzu au Katavi!!
Babu DC!!