Zinduna Talk Show: Leo mjengoni yupo Madame B, na Host wenu ni ErickB52

Dah!
Swali la mtego,na naomba huo mtego nisiufyatue.
Wote napenda post zenu,hasa wewe na babu,Archuga,mwanafnz wangu,DaAsha,mashost zangu,wapambe wangu,mpenzi Chimbuvu,Chilli,tedo,mamodereta,Rutta wangu na memberz woote.
Hapo panatosha!
Sawa sasa nawakaribisha wadau woooooote yan kwa kuwataja nitachukua muda mwingi ila tedo Chimbuvu Baba V Ruttashobolwa Bishanga The secretary cielo lara 1 sweetlady PakaJimmy Arushaone Kaizer Dark City Preta njooni tuanze session ya pili kwa Madame B
 
Last edited by a moderator:
Dah!
Swali la mtego,na naomba huo mtego nisiufyatue.
Wote napenda post zenu,hasa wewe na babu,Archuga,mwanafnz wangu,DaAsha,mashost zangu,wapambe wangu,mpenzi Chimbuvu,Chilli,tedo,mamodereta,Rutta wangu na memberz woote.

Usingentaja ningetoa ile siri yako ulivotoa ile mimba ya mpemba.

BTW wapemba bao na dungurusi kubwa au ulipendea chapaa yake mpaka kikanasiamo?
 
Last edited by a moderator:
Nimepewa kibali na Erickb52 na Madame B niweke matangazo ya biashara hapa ili kuwazuia wafadhili wasieke matangazo yao ya kiibilisi kama ya Dume condoms.
Zinduna naona babu anahamu ya maswali sasa naomba kukupa shukrani zangu za pekee kwa kuwa bega kwa bega na mimi katika kufanikisha show hii!
Madame B thanks na karibu kwenye awamu ya pili ya wadau kukutupia maswali usiogope kujibu crazy Qns relux kama ulivyokuwa tangu mwanzo!
Thanks sana kwa wadau wote! Niko nanyi!
Asprin muda wangu umetosha nawapa nafasi nanyi muulize maswali yenu!
Karibuni sana ndetichia Elia G Kamwela na wadau wote popote mlipo
Mama Erick a.k.a KOKUTONA karibu sana Kipipi (Miss you) bila kuwasahau moto2012 FP gfsonwin snowhite cacico Bishanga na The Boss
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…