Huyu atarudi tena, ngoja apumzike kidogo!Kocha wa Los Blancos (Real Madrid) ameamua kuachana na timu hiyo rasmi baada ya kuwa na tetesi za muda mrefu. Klabu ya Real Madrid itatoa taarifa rasmi kuhusu kuondoka kwa Zidane.
Zidane msimu huu katoka kapa katika michuano yote aliyoshiriki. Hii ni mara ya pili kocha huyo anaondoka real madrid.
View attachment 1798888
Kafanya vizuri, kanusurika kutimuliwa mara nyingi, mule hakuna kocha.Huyu atarudi tena, ngoja apumzike kidogo!
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] Alikua na kikosi bora na chenye hurka ya mafanikio na wakiwa bado umri haujaenda sana... So sie ronado tu aliembeba bali team nzima na piabmbinu zake zilimsaidia so hakubebwa moja kwa mojaRonaldo alimbeba sana