tc_edo
Senior Member
- Apr 9, 2021
- 123
- 98
Kocha wa Los Blancos (Real Madrid) ameamua kuachana na timu hiyo rasmi baada ya kuwa na tetesi za muda mrefu. Klabu ya Real Madrid itatoa taarifa rasmi kuhusu kuondoka kwa Zidane.
Zidane msimu huu katoka kapa katika michuano yote aliyoshiriki. Hii ni mara ya pili kocha huyo anaondoka real madrid.
Zidane msimu huu katoka kapa katika michuano yote aliyoshiriki. Hii ni mara ya pili kocha huyo anaondoka real madrid.