BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,320
- 11,327
- Thread starter
-
- #101
usitokwe povu kama unakufa ..tulia kaangalie upya hamna haja ya kupata blood pressure kwa habari hii hahahaKuna ukweli hapa. Hii habari itakuwa ya uongo. Nimeitafuta kwenye vyombo vikubwa vya habari sijaiona. Nimeenda bbc sports. Hamna kitu. Tumeingizwa chaka.Kweli hii taarifa kweli tumepigwa changa la macho na mleta mada. Na tulivyokuwa mabwege hata source ya habari hamna tunachangia tu kama mazuzu.
punguza blood pressure ...Ila we mtoa mada unatuletea tetesi bhana mi mwenyewe nilitaka kushangaa aisee. Hii habari kwenye vyombo vya habari vikubwa haipo.
JamiiForums rekebisheni title isomeke kama tetesi ni fake news hii.
punguza blood pressure ..Ndio hivyo Mkuu, uongo mtupu. Hata kwenye tetesi hamna. Picha ya zamani sana hiyo.
Mengine tuwe tunakusaidia hapa hapa Mkuu.Hata nikikuambia hautaamini...inshort ndivyo hivyo mkuu.
Hahaha!!. ndo yale yale unatoka zako kwenye mishe mishe za hapa na pale.gafla unakutana na baby baby mlangoni kakunja ndita utadhan kalishwa ndimu unauliza tatizo nn '"anajb" mwenzako kwa siku anaingiza mamilion., haya we mwanzang na mie leo umeingiza shi ngap.unabaki kuduwaaa tu!! hahahaha!! omba yasikukute mtu wang..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
haha duuh. ..basi ngoja niseme Algerian arabic au kiberber hizo ndo native language
Peleka Tz yako pale uoneQatar na mpira wa miguu wapi na wapi? Nadhani lengo lao ni kumtajirisha Zidane tu.