Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 31,559
- 42,179
anaesema mpira wa sasa mgumu aangalie hizi foul za wakati wa peleNi mtazamo tu. Enzi hizo za akina Pele filimbi za faul zilikuwa chache. Siku hizi hao washambuliaji wenu wanalindwa kama mayai.