Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Namba moja imebase kwenye zile Amri 11 Za shetani1. Usimsaidie mtu bila kuombwa msaada.
2. Lazima ujue kuwa adui wako makubwa ni miongoni mwa ndugu yako.
3. Rafiki wa kweli zaidi ni wewe mwenyewe tu.
4. Ukiwa maskini utadharaulika mpaka na watoto wadogo
5. Mtoto mdogo ndiye pekee anayependwa bila sababu. Ukiwa mtu mzima utapendwa kwasababu tu.
6. Usipigane vita isiyokuhusu
7. Fedha hazijatengenezwa kwaajili ya wapumbavu na wajinga.
8. Ukipatwa na tatizo kubwa atakayeumia zaidi ni mama yako mzazi wengine wataumia kwasababu tu au kwa kuigiza.
9. Hakuna jambo la kudumu. Raha , shida, magonjwa, njaa, elimu, cheo, kazi , dhiki vyote ni vitu vya muda mfupi sana. Vitakwenda kunyauka na kusahaulika. Hata wewe utasahaulika.
10. Mungu muumba mbingu na nchi ndiye mwamuzi wa maisha ya kila mtu.
Baba Hana upendo Kwa watoto Ila anatimiza majukumu Yake Tu.Hapo namba 8 ungeweka mzazi na sio mama peke yake, wengine baba zetu wanatupenda kufa!!
Kutambua Na Kutimiza Hayo Majukumu Yake Ndio Upendo Wenyewe Huo,,Ulihitaji Tuwanyonyeshe?Baba Hana upendo Kwa watoto Ila anatimiza majukumu Yake Tu.
Mkuu Mimi sioni kama nawapenda watoto wangu Ila naona natimiza majukumu yangu sababu Mimi ni baba yaoKutambua Na Kutimiza Hayo Majukumu Yake Ndio Upendo Wenyewe Huo,,Ulihitaji Tuwanyonyeshe?