azzurre
Senior Member
- Apr 14, 2013
- 107
- 96
1. "Usile mpaka uwe na njaa na unapokuwa na njaa, usile mpaka ukashiba sana"
2. " Ligawe tumbo sehemu tatu, unaptaka kula sehemu ya kwanza iwe ya chakula, sehemu ya pili iwe ya maji na sehemu ya tatu iwe ya kuvutia hewa"
Pia epuka kuwa katika kundi la watu ambao watakuwa na afya mbovu na ilio andamana na matatizo mengi ya kiafya kwa kuepuka tabia hizi tatu:
1. Kupanda sana kufanya Sex
2. Kudumu katika ulevi i.e Kulewa kwa kipindi cha muda mrefu
3. Kupenda kula ovyo ovyo i.e kupanda kula kila baada ya muda mdogo
Kama utayazingatia haya hutokuwa na afya mbovu,
2. " Ligawe tumbo sehemu tatu, unaptaka kula sehemu ya kwanza iwe ya chakula, sehemu ya pili iwe ya maji na sehemu ya tatu iwe ya kuvutia hewa"
Pia epuka kuwa katika kundi la watu ambao watakuwa na afya mbovu na ilio andamana na matatizo mengi ya kiafya kwa kuepuka tabia hizi tatu:
1. Kupanda sana kufanya Sex
2. Kudumu katika ulevi i.e Kulewa kwa kipindi cha muda mrefu
3. Kupenda kula ovyo ovyo i.e kupanda kula kila baada ya muda mdogo
Kama utayazingatia haya hutokuwa na afya mbovu,