Smart Guy
JF-Expert Member
- Dec 19, 2016
- 6,808
- 6,934
[emoji16][emoji16][emoji16]Bomba lamvua bafuni nikaling'oe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji16][emoji16][emoji16]Bomba lamvua bafuni nikaling'oe
We jamaaa hahaaaaaKwaiyo na wale wanaoenda kuogelea inatakiwa waanze na miguu..
Wale ndugu zetu vijijini kule wananyeshewa na mvua wakiwa shambani inabidi wawe wanageuka miguu kwanza
Kama afya Sio poaHuo muda wa kuoga miguu mpaka mwili uzoee unatoka wapi.
Dah!...shukrani kwa elimuWaswahili wanasema amekubwa na jini au jinamizi bafuni likamuua.
Kumbe ni mgandamizo wa maji ya baridi na joto la mwili ni sawa na chupa ya moto ya chai uweke maji ya baridi ghafla lazima ipasuke.
Ndivyo misuli Huwa inapasuka ikipata maji ya baridi ghafla.
Maji ya vuguvugu ni salama zaidi kwa kuoga.
Ukioga anzia chini kwenye miguu labda kusugua miguu ukijipa mda mwili uzoee then kiunoni then kifuani kichwan iwe ni hatua ya mwisho then unaweza ukaendelea
Miguu ndio Huwa inaanza kukanyaga maji huku unasogea kina kirefu.Kwaiyo na wale wanaoenda kuogelea inatakiwa waanze na miguu..
Wale ndugu zetu vijijini kule wananyeshewa na mvua wakiwa shambani inabidi wawe wanageuka miguu kwanza
[emoji38][emoji38][emoji38]Km unatumia bomba la mvua inama anza kuosha matako
Unafanya mambo mengine sio 😂🤣 saaafiiiMimi kuoga nilisha achaga aisee.
ndio mkuuUnafanya mambo mengine sio 😂🤣 saaafiii