Boeing 747
JF-Expert Member
- Mar 30, 2018
- 3,515
- 9,415
Hapana, [emoji28][emoji13][emoji13]Sio mng'ato huyo kweli!
mng'ato yupo careful sana kwenye haya mambo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana, [emoji28][emoji13][emoji13]Sio mng'ato huyo kweli!
Kwanini unakurupuka husomi halafu unaanza kupost humu.Mbona ameweka hapo juu.Ungeweka na picha za hizo taa hapo dashboardini
Yawezekana oil pump inakaribia kufaWadau, kwanini Oil Pressure Light inakuwa on kwa dakika 2 hadi 3 wakati wa kuwasha gari hasa gari inapokuwa imezimwa kwa zaidi ya masaa matatu na kuendelea?
Wadau taa ya ABS inawaka muda wote nimeenda kwa fundi amekagua kila kitu anasema gari haina tatizo lolote