Aliyekwisha tumia dawa za kichina au hizo za kiarabu kutibu matatizo ya tumbo ,maumivu ya miguu nakadhalika ninaomba anishauri!
Zipi zinafanya kazi vizuri na kwa uhakika,za kichina au za kiarabu?
Kwa nilivyofikia, niko tayari kwa ushauri kuhusu dawa hizo!
Zipi zinafanya kazi vizuri na kwa uhakika,za kichina au za kiarabu?
Kwa nilivyofikia, niko tayari kwa ushauri kuhusu dawa hizo!