Zipi ni sifa za mabinti wa kikurya?

Wakuu nipeni abc za hawa mabinti wa kikurya nijipime kama nawamudu ama la
wana heshima sana kwa wanaume hasa wa kwao. pia si wa kujiweka chini sana. ukiliamsha analiamsha pia
kabila zingine ni second class kwani wakurya tunaamini kabila zingine hawatahiriwi. hivo kunakuwa ni dharau kiasi kwa kaBILA zingine
hakuoni kama mwanaume kamili. 😆 😆 😆
 
Let He Go
Mkuu muache huyo demu wa Kikurya aendee tuu mana humkojozi 😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…