Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 3,840
- 6,844
duh haya mazitoWababe kama ni nice guy abort misheni.
Inasemekana hawana antena za azam tv.
Wala sio mazitoduh haya mazito
mbona sisi wenyewe huku tarime tunawakojoza wake zetu mkuuAkikojoa niite mbwa
wana heshima sana kwa wanaume hasa wa kwao. pia si wa kujiweka chini sana. ukiliamsha analiamsha piaWakuu nipeni abc za hawa mabinti wa kikurya nijipime kama nawamudu ama la
mkuu acha tupate shemejiKama haujafall bad piga chini. This is serious.
Umemaliza Mkuu, watu bado wako enzi za mawe. Siye Wakurya wengi kwanza tumeshachanganya. Halafu watu wanajiongelea kuhusu Wakurya kwa kusikia umbea, hata hawawajui. Naunga mkono jibu lako 100%Kwa ulimwengu wa sasa kabila haliusiani na usahihi au tabia za mtu
Mkalimani wa lugha zisizo rasmi nimewafikiaInasemekana hawana antena za azam tv.
Mi sitachanga hela ya msiba.mkuu acha tupate shemeji
tunahitaji ng'ombe
Wana katabia kakutoa mzigo kwa kila mwanaume hata kama wapo ndani ya ndoa. Pia ushirikinaWakuu nipeni abc za hawa mabinti wa kikurya nijipime kama nawamudu ama la
Let He GoMkalimani wa lugha zisizo rasmi nimewafikia
Mkalimani :
Hapo anasema hawana antenna za Azam TV anamaanisha wengi wamekeketwa
Ni Mimi wako Mkalimani wako wa lugha zisizo rasmi Lethergo
Hilo Jina la ID linatamkwa le-tha-go sio let-her-go mfano Lethago Mwakajumba