Zipi ni sifa za mabinti wa kikurya?

Zipi ni sifa za mabinti wa kikurya?

Wakuu nipeni abc za hawa mabinti wa kikurya nijipime kama nawamudu ama la
wana heshima sana kwa wanaume hasa wa kwao. pia si wa kujiweka chini sana. ukiliamsha analiamsha pia
kabila zingine ni second class kwani wakurya tunaamini kabila zingine hawatahiriwi. hivo kunakuwa ni dharau kiasi kwa kaBILA zingine
hakuoni kama mwanaume kamili. 😆 😆 😆
 
Mkalimani wa lugha zisizo rasmi nimewafikia

Mkalimani :

Hapo anasema hawana antenna za Azam TV anamaanisha wengi wamekeketwa

Ni Mimi wako Mkalimani wako wa lugha zisizo rasmi Lethergo

Hilo Jina la ID linatamkwa le-tha-go sio let-her-go mfano Lethago Mwakajumba
Let He Go
Mkuu muache huyo demu wa Kikurya aendee tuu mana humkojozi 😂
 
Back
Top Bottom