Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 3,840
- 6,844
- Thread starter
-
- #41
sure ata mm nakumbuka umu walisemwa wale wajita ndo wana mambo ayoKwahili umewasingizia , asilimia kubwa Binti wa kikurya kwenye ndoa ni mwaminifu sana na kuhusu ushirikina pia sio kweli , nimekaa na jamii hii Nina experience nayo .
kwaiyo wanataka life la vayolensi au? maana akizingua si unampa kichapo tuWababe kama ni nice guy abort misheni.
Inasemekana hawana antena za azam tv.
Ulozi, umeenda chaka.kipi hakina ukweli mkuu uthombeshaji au u0 ulozi?
duh unamaanisha hawakojoleki au? duh mbn hii imbombo ngafu[emoji36][emoji36]Akikojoa niite mbwa
Upo sahihi Kwa kule mara jamiii Inayo amini na kufnya shiriki nisure ata mm nakumbuka umu walisemwa wale wajita ndo wana mambo ayo
pamoja kiongoziUpo sahihi Kwa kule mara jamiii Inayo amini na kufnya shiriki ni
Wajita,
Wakyaya na
Wakabwa
Ila Kwa wakurya hapo mmewasingizia .
duh kumbe adi muheshimiwa amekufa uko bila shaka watakuwa bulbulMuulize Tundu A. Lissu- mke wake ni wa huko tarime - atakupa abc zote
haya ila naww unaweza kuchangia unavyowafaham
yeah naskia wana vihasira km vyoteKuna jamaa yangu Mtu wa Kanyi nae anataka kumuoa Mdada wa kikurya Thus year, ila huyo Dada hajakukia Tarime...kaka zake wawili wanaelewana tu vizuri na jamaa ila huyo binti ndio Hasira za hapa na hapa dakika 0 anazira [emoji1787]
kiongozi upo Gen Z?RUTO MUST GO
mimi ni GEN Z kabsa mkuukiongozi upo Gen Z?
Mke wa Tundu ni Mkerewe, siyo Mkurya.Muulize Tundu A. Lissu- mke wake ni wa huko tarime - atakupa abc zote