Zipi ni sifa za mabinti wa kikurya?

Kuna jamaa yangu Mtu wa Kanyi nae anataka kumuoa Mdada wa kikurya Thus year, ila huyo Dada hajakukia Tarime...kaka zake wawili wanaelewana tu vizuri na jamaa ila huyo binti ndio Hasira za hapa na hapa dakika 0 anazira 🤣
 
Kuna jamaa yangu Mtu wa Kanyi nae anataka kumuoa Mdada wa kikurya Thus year, ila huyo Dada hajakukia Tarime...kaka zake wawili wanaelewana tu vizuri na jamaa ila huyo binti ndio Hasira za hapa na hapa dakika 0 anazira [emoji1787]
yeah naskia wana vihasira km vyote
 
All the best....

Tabia haihusiani na Kabila bali mazingira aliyokulia....Kama ana tabia nzuri wewe proceed.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…