Zipi sababu za mgawo wa umeme usioisha Tanzania

Saa 12 au saa 1 asubuhi unarudi jioni saa 12, au wanakata saa 12 jioni unarudi saa 6 usiku halafu na kesho tena wanakata tena sasa huko kwenye kutunza vyakula Mungu atusaidie tu
Shida sana
 

Tatizo haliwezi kutatuliwa na akili zilezile zilizolicreate kiongozi, labda tukafunge na maombi na kupanga tunguli zetu upya! So sad, kunywa mtori subiri nyama ziko chini, hata inyeshe mvua ya dhahabu bado akili kisoda zitasema nyaya zimekatwa na kunguru japo mabwawa yamejaa, mgao upo miaka 25 sasa unashtuka leo? Wao hawajui washasahau wanajua umeanza jiwe alivyokufa
 
Hadi stock ya magenerator iishe ndio mgao wa umeme utaisha hi nchi imeshashikwa na mafisadi

Jana Kuna sehemu nilikuwa nimekaa kkoo mtaa wa Uhuru Kila Baada ya dk 5 au 10 ilikuwa inapita Zusuki Carry imebeba Generator jipya
 
Kwani zile kampuni zinazozalisha umeme kwa gesi na kuuzia Tanesco, zimelipwa madeni yote? maana inawezekana hizo kampuni hazijalipwa malimbikizo ya madeni na wakaamua kufunga koki.

Wakati unaaangalia hayo, ukumbuke kuwa mkurugenzi wa tanesco wakati akiapishwa, anakula na kiapo cha kutunza siri zote za serikali atakazozijua wakati wa kutekeleza majukumu yake, kitu ambacho kinambana kuongelea ukweli huo wa madeni, mbele ya vyombo vya habari.

Hayo ni mawazo yangu tu. [emoji3][emoji3]
 
Swala la umeme bongo kukoma , ni baada ya 50 yrs ahead uko.
Au labda kichukue chama pinzani japo ni ndoto.
 
Kinachoudhi zaidi ni kwamba muda ambao umeme unahitajika zaidi kwa wengi ndiyo unakatwa.

Kwenye familia nyingi saa moja hadi saa nne usiku ndiyo umeme haukupaswa ukatwe halafu unauleta saa nne usiku ili iweje sasa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…