Zipi sifa za kijana wa hovyo?

Zipi sifa za kijana wa hovyo?

Hafanyi chochote na wala hana ambitions zozote. Hana ndoto, hajitumi, kakata tamaa/ ana settle kuwa tegemezi
 
1. Mpiga punyeto
2. Shabiki wa WCB NA KINGS MUSIC
3. Shabiki wa yanga na Simba
4. Mcheza kamari
5. KaZI kusifia matako makubwa ya mademu
6. Hana pesa za kumtosha
7. Degree zao za SAUT na Udsm hazina msaada wwt kwao
8. Huwa wanachezea simu mda wote , I mean mda wa kula , in class session, kwenye daladala ,
9. ME wanaamini kuwa mrefu ndo tiketi ya kunyandua pis kali
KE wanaamini matako makubwa ndo tiketi ya kudatisha masela.
10. NO FUTURE AT ALL .........

[emoji2539] [emoji2539]
[emoji103]
[emoji105]
 
Mpaka kuitwa kijana wa hovyo unabidi kuwa na sifa zipi?
Kijana anayehusudu mapenzi kuliko kesho yake.
Kijana asiyejishughulisha
Kijana asiyeweza kuendana na wakati
Kijana anayekuwa na malengo lukuki ila haoneshi njia kuyafikia
Kijana anayekunywa pombe kupindukia ili asahau maswaibu yake.
Kijana asiyeisha malalamiko si kwa serikali ila hata kwa ndugu na jamaa.
Kijana anayeogopa kuoa eti siku hizi hatuoi
Kijana anayeamini katika ajira pekee yeye kuyafikia malengo yake
Kijana anayesubiri urithi kwa hamu sana.
.

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Kijana wa hovyo ni yule anayejisifu mfano anajisifu ana Degree halafu kesho anaweka Tangazo anahitaji kununua Vyombo vya ndani used mfano Godoro,Kitanda,Sufuria nk,huyo kwangu ni Kijana wa ovyo tu
 
Kijana wa hovyo ni yule anayejisifu mfano anajisifu ana Degree halafu kesho anaweka Tangazo anahitaji kununua Vyombo vya ndani used mfano Godoro,Kitanda,Sufuria nk,huyo kwangu ni Kijana wa ovyo tu
Aisee
 
Kijana wa hovyo ni yule anayejisifu mfano anajisifu ana Degree halafu kesho anaweka Tangazo anahitaji kununua Vyombo vya ndani used mfano Godoro,Kitanda,Sufuria nk,huyo kwangu ni Kijana wa ovyo tu
Jamaa unabifu na jiran yako ha ha haaa
 
Kijana anaeishi kwao na amefikia umri wa kujitegemea
Kijana hapaswi kuhama kwao kisa umri ili ahame lazima kuwe na sababu zenye uzito huwezi kuhama ukawaacha wazazi wako wanaohitaji uangalizi wa karibu

Mmiliki wa mabasi ya yehova yire (kigoma to mwanza) anaishi kwao mwamba ana basi zaidi ya 10 na fuso (scania) zaidi ya 15

Mkuu wa pccb kigoma town anakaa kwao

Mkuu wa TRA kigoma anaishi kwenye nyumba ya familia

Meja General Tuilinde anakaa kwao(tena huyu hata kuemea ni shida)

Our last born ni engineer TPDC lakini hataki kuhama home

So kuishi home hakufanyi uwe kijana wa hovyo
 
1. Mpiga punyeto
2. Shabiki wa WCB NA KINGS MUSIC
3. Shabiki wa yanga na Simba
4. Mcheza kamari
5. KaZI kusifia matako makubwa ya mademu
6. Hana pesa za kumtosha
7. Degree zao za SAUT na Udsm hazina msaada wwt kwao
8. Huwa wanachezea simu mda wote , I mean mda wa kula , in class session, kwenye daladala ,
9. ME wanaamini kuwa mrefu ndo tiketi ya kunyandua pis kali
KE wanaamini matako makubwa ndo tiketi ya kudatisha masela.
10. NO FUTURE AT ALL .........

[emoji2539] [emoji2539]
[emoji103]
[emoji105]
Naongezea:
11.Malimbukeni(Show off)
12.Maisha yao ni Ombaomba miaka yote.
 
Back
Top Bottom