Zipo nyakati za kudhalilika wakati wa kujitafuta

Zipo nyakati za kudhalilika wakati wa kujitafuta

RIGHT MARKER

Senior Member
Joined
Apr 30, 2018
Posts
129
Reaction score
473
MHADHARA (104)✍️
1. Utaondoka nyumbani mweupe kwenda kutafuta, utarudi nyumbani ukiwa mweupe. Lakini usiwe mwisho wa kuendelea kupambana.

2. Biashara utakayoianzisha itayumba, au kufa kabisa. Lakini usiwe mwisho wa kuendelea kupambana.

3. Utakwama, utawapigia simu watu wako wa karibu kamwe hawatapokea simu yako. Lakini usiwe mwisho wa kuendelea kupambana.

4. Elimu uliyonayo utaona haina faida yoyote, na kila anayekufahamu atakucheka na kubeza elimu yako. Lakini usiwe mwisho wa kuendelea kupambana.

5. Gesi itakwisha, mkaa utakwisha, king'amuzi kitakata, LUKU itakata, unga utakwisha, na sukari itakwisha. Yaani vyote vitakwisha kwa wakati mmoja. Lakini usiwe mwisho wa kuendelea kupambana.

6. Pesa utakayowekeza haitoleta faida. Shambani mvua zitagoma kunyesha. Mifugo itakufa. Lakini usiwe mwisho wa kuendelea kupambana.

NB: Kwenye mapambano yako usiache kutanguliza maombi (sala).

RIGHT MARKER
DAR ES SALAAM
 
MHADHARA (104)✍️
1. Utaondoka nyumbani mweupe kwenda kutafuta, utarudi nyumbani ukiwa mweupe. Lakini usiwe mwisho wa kuendelea kupambana.

2. Biashara utakayoianzisha itayumba, au kufa kabisa. Lakini usiwe mwisho wa kuendelea kupambana.

3. Utakwama, utawapigia simu watu wako wa karibu kamwe hawatapokea simu yako. Lakini usiwe mwisho wa kuendelea kupambana.

4. Elimu uliyonayo utaona haina faida yoyote, na kila anayekufahamu atakucheka na kubeza elimu yako. Lakini usiwe mwisho wa kuendelea kupambana.

5. Gesi itakwisha, mkaa utakwisha, king'amuzi kitakata, LUKU itakata, unga utakwisha, na sukari itakwisha. Yaani vyote vitakwisha kwa wakati mmoja. Lakini usiwe mwisho wa kuendelea kupambana.

6. Pesa utakayowekeza haitoleta faida. Shambani mvua zitagoma kunyesha. Mifugo itakufa. Lakini usiwe mwisho wa kuendelea kupambana.

NB: Kwenye mapambano yako usiache kutanguliza maombi (sala).

RIGHT MARKER
DAR ES SALAAM
Mkuu naona Kam unanisema kabisa nachopitia kwasasa 🙏 Asante kwa ujumb mnzuli
 
1. Hela haina undugu,
2. Kila siku Watu wanaoamka asubuhi wote wanaenda kutafuta hela( hapa ndo pakujiuliza hizo hela zipo na nani) .

Tafuta hela kwa njia yeyote ile mpaka inapatikana , ila hakikisha haikuvui nguo ndani ya jamii .. 🙂 🙂
 
Mahusiano uliyonayo takufa lakini pambana sana usiakate tamaa.

Utapata kazi chaajabu utafukuzwa kazi kwa makosa yasiyoeleweka. Usikate tamaaa.

Utajiona duniani huna thamani ukijitazama huna chochote, wakati wenzio wamejenga, wanafamilia wanabiashara wanakazi. Aiseee jua tu zamu yako bado mkuu. Ila usikate tamaa.

Ukiona unaweza kulia. Ingia ndani lia sana, ukimaliza jifute machozi, jitazame kwenye kioo. Sema Bado napambana mpka national cake tuifaidi wote.

Mungu ni wetu sote.. never give up.

Usiwe mnyonge, chochote utakachoona ni fursa pita nacho , mengine utayajua huko badaye.
 
MHADHARA (104)✍️
1. Utaondoka nyumbani mweupe kwenda kutafuta, utarudi nyumbani ukiwa mweupe. Lakini usiwe mwisho wa kuendelea kupambana.

2. Biashara utakayoianzisha itayumba, au kufa kabisa. Lakini usiwe mwisho wa kuendelea kupambana.

3. Utakwama, utawapigia simu watu wako wa karibu kamwe hawatapokea simu yako. Lakini usiwe mwisho wa kuendelea kupambana.

4. Elimu uliyonayo utaona haina faida yoyote, na kila anayekufahamu atakucheka na kubeza elimu yako. Lakini usiwe mwisho wa kuendelea kupambana.

5. Gesi itakwisha, mkaa utakwisha, king'amuzi kitakata, LUKU itakata, unga utakwisha, na sukari itakwisha. Yaani vyote vitakwisha kwa wakati mmoja. Lakini usiwe mwisho wa kuendelea kupambana.

6. Pesa utakayowekeza haitoleta faida. Shambani mvua zitagoma kunyesha. Mifugo itakufa. Lakini usiwe mwisho wa kuendelea kupambana.

NB: Kwenye mapambano yako usiache kutanguliza maombi (sala).

RIGHT MARKER
DAR ES SALAAM
Andiko bora lenye kubeba uhalisia!
 
MHADHARA (104)✍️
1. Utaondoka nyumbani mweupe kwenda kutafuta, utarudi nyumbani ukiwa mweupe. Lakini usiwe mwisho wa kuendelea kupambana.

2. Biashara utakayoianzisha itayumba, au kufa kabisa. Lakini usiwe mwisho wa kuendelea kupambana.

3. Utakwama, utawapigia simu watu wako wa karibu kamwe hawatapokea simu yako. Lakini usiwe mwisho wa kuendelea kupambana.

4. Elimu uliyonayo utaona haina faida yoyote, na kila anayekufahamu atakucheka na kubeza elimu yako. Lakini usiwe mwisho wa kuendelea kupambana.

5. Gesi itakwisha, mkaa utakwisha, king'amuzi kitakata, LUKU itakata, unga utakwisha, na sukari itakwisha. Yaani vyote vitakwisha kwa wakati mmoja. Lakini usiwe mwisho wa kuendelea kupambana.

6. Pesa utakayowekeza haitoleta faida. Shambani mvua zitagoma kunyesha. Mifugo itakufa. Lakini usiwe mwisho wa kuendelea kupambana.

NB: Kwenye mapambano yako usiache kutanguliza maombi (sala).

RIGHT MARKER
DAR ES SALAAM
Wewe jamaa ni greet thinker yaani kama unanilenga Mimi aiseee...nimeipenda sana hii...
 
Mahusiano uliyonayo takufa lakini pambana sana usiakate tamaa.

Utapata kazi chaajabu utafukuzwa kazi kwa makosa yasiyoeleweka. Usikate tamaaa.

Utajiona duniani huna thamani ukijitazama huna chochote, wakati wenzio wamejenga, wanafamilia wanabiashara wanakazi. Aiseee jua tu zamu yako bado mkuu. Ila usikate tamaa.

Ukiona unaweza kulia. Ingia ndani lia sana, ukimaliza jifute machozi, jitazame kwenye kioo. Sema Bado napambana mpka national cake tuifaidi wote.

Mungu ni wetu sote.. never give up.

Usiwe mnyonge, chochote utakachoona ni fursa pita nacho , mengine utayajua huko badaye.
Comment bora ya mwaka
 
Back
Top Bottom