Zipo scholarship hadi wenye miaka 30-33

Zipo scholarship hadi wenye miaka 30-33

Wakilimkuu

Member
Joined
Apr 15, 2024
Posts
91
Reaction score
106
Habari ya sasa hizi wakuu, ni matumaini yangu mpo wazima kabisa. Naomba kuuliza wakuu hivi zipo scholarship hadi wenye miaka 30-33
 
Zipo nyingi sana hadi wenye age 35 kwa wanume, na pia zaidi ya hapo. Ila hizo ndozo common kwa level ya masters.
 
Back
Top Bottom