NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
Ama kweli Yanga Sc imewafunga midomo wachambuzi wa michongo waliokuwa wanatumika vibaya kuiponda Yanga Sc kila kunapokucha.
Nakumbuka msimu uliopita Yanga Sc ilipotupwa kwenye michuano ya kombe la shirikisho waliibuka watabiri /waganganjaa waliokuwa wakichambua Yanga Sc kila kukicha "mala oh oh Yanga haitofika mbali" mala ohh ohh Yanga sc kimataifa hawana uwezo siyo michuano Yao kabisa"
NALIA NGWENA nimepita kwenye page za wachambuzi wa michongo wapo kimya Sana na hawaongei chochote kuhusu Yanga Sc hii Ni tofauti na msimu uliopita,
Yanga sc watachuana na Belouzidad ya Algeria cha kushangaza wachambuzi wa michongo waliokuwa wakilipwa ili wasambaze propaganda wapo kimya, hata wazee wa statistics kuchambua ukubwa wa Belouzidad Fc kiuchumi, kimafanikio nao wapo kimya.
Kipigo cha Goli tano kimewafunga midomo wachambuzi waliokuwa wanalipwa ili kuishambulia Yanga Sc.
Nakumbuka msimu uliopita Yanga Sc ilipotupwa kwenye michuano ya kombe la shirikisho waliibuka watabiri /waganganjaa waliokuwa wakichambua Yanga Sc kila kukicha "mala oh oh Yanga haitofika mbali" mala ohh ohh Yanga sc kimataifa hawana uwezo siyo michuano Yao kabisa"
NALIA NGWENA nimepita kwenye page za wachambuzi wa michongo wapo kimya Sana na hawaongei chochote kuhusu Yanga Sc hii Ni tofauti na msimu uliopita,
Yanga sc watachuana na Belouzidad ya Algeria cha kushangaza wachambuzi wa michongo waliokuwa wakilipwa ili wasambaze propaganda wapo kimya, hata wazee wa statistics kuchambua ukubwa wa Belouzidad Fc kiuchumi, kimafanikio nao wapo kimya.
Kipigo cha Goli tano kimewafunga midomo wachambuzi waliokuwa wanalipwa ili kuishambulia Yanga Sc.