...........zipu inasaidia kwenye kuvaa na kuvua hiyo suruali kama haina mpira, na ukae ukijua wanawake hawakuwa wakivaa suruali so zilitengenezwa kwaajili ya wanaume hawa walivyoanza kuvaa waliiga tu zile za kiume badala ya kuja na kitu kipya.
Zipu inasaidia wakati wa kuvaa na kuvua jeans, japo kuwa kwa mwanaume inakuwa na faida ya ziada hivyo haifanyi hii faida nyingine isiwepo kwa upande wa pili
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.