Ziro za IV ni malezi mabovu-Salma Kikwete

KOMBAJR

JF-Expert Member
Joined
Nov 15, 2011
Posts
5,827
Reaction score
1,271
wanajamvi katika kila mtu kutoa mawazo yake juu ya matokeo ya kidato cha nne kuwa mabaya nimekutana na twit ya first lady salmakikwete.matokeo ya form four yametokana na yanaashiria kuna sehemu katika malezi ya vijana wetu tunakosea kwa kiasi.......
Wadau wanauliza mwanaisha naye alidondokea kwenye hili? Kweli our first lady is thinking criticaly.
Cc.
Rirtz,chama,rejao
 
Last edited by a moderator:

Mku KombaJR!

Hakuna cha kumshangaa Mwanaisha mkuu! Naye kapitia malezi hayohayo!!
 

Mbona kajibu vizuri tu. Au umezoea notisi za kukariri ndo uelewe.
Jibu la kwamba yanaashiria kuna sehemu katika malezi ya vijana wetu tunakosea kwa kiasi ni moja ya majibu sahihi kabisa yanayosababisha kuporoka kwa elimu za nchi nyingi.

Kwa sababu umezoea notisi, basi desa kidogo hapo chini.
Elimu ya mtoto inahusisha serikali (shule, walimu, vifaa n.k), mtoto mwenyewe (afya na malezi) na wazazi/walezi ambao wanatakiwa kuwalea watoto katika misingi ya kupenda shule na kujishugulisha katika shule. Wewe unamlea mtoto kuangalia tamthilia siku nzima na humsisitizi kujisomea, unategemea nini. Wewe ndo hufikirii critically.
 

acheni kujificha kwenye sababu nyepesi mnaacha sababu za msingi.
 
Malezi mabovu au mfumo mbovu wa elimu???

Kama wanafunzi waliosoma miaka minne kwa ajili ya kufaulu mtihani wamefeli na wakati huo huo hawajajifunza skills zozote za maisha unategemea nini toka kwa hao vijana. Kikubwa walichojifunza shuleni ni kuikataa CCM na hivyo 2015 watalipa kisasi kwa CCM kuwanyima elimu bora. Kuna kura zaidi ya 240,000 za CHADEMA hapo...
 
Yeye alipata division ngapi??

Alimaliza mafunzo yake pale chuo cha ualimu??

Kwa hiyo wazazi wake nao walikua na malezi mabaya??
 
Yeye alipata division ngapi??

Alimaliza mafunzo yake pale chuo cha ualimu??

Kwa hiyo wazazi wake nao walikua na malezi mabaya??

hapo chacha amshukuru mwaiki mkuu wa kigurunyembe by then ndo maana jk akumsahau kwenye ufalme wake
 
acheni kujificha kwenye sababu nyepesi mnaacha sababu za msingi.

Wewe ndo huelewi kabisa maana ya elimu. Nakupa mifano:
1. Wakati Obama akigombea awamu ya kwanza katika kuzungumzia elimu alisema kwamba ataajiri walimu wa kutosha na kuwalipa mishahara mizuri. Ila aliongeza kwa kusema, wazazi nanyi mtimize wajibu wenu kwani serikali haiwezi kuja nyumbani kwako na kuzima TV ili mtoto akafanye homework. Think critically
2. Tarehe 14.02.2013, juzi tu wakati Zuma akifungua mbunge la Afrika ya Kusini, soma mwenyewe

''In elevating education to its rightful place, we want to see an improvement in the quality of learning and teaching and the management of schools. We want to see an improvement in attitudes, posture and outcomes.
Working with educators, parents, the community and various stakeholders, we will be able to turn our schools into centres of excellence''. Think critically.

Hiyo ni mifano michache, ipo mingi tu.
Ukizungumzia elimu, unagusa nyanja nyingi. Kwa heri KombaJr.
 

mkuu mifano yote sina shida nayo hofu yangu nikuwa ur so deffensive bila sababu yoyote.be positive kwanza.
Haki elimu,sikika na tasisi nyingine walishatoa ushauri wao kuhusu mwenendo wa elimu yetu ila wakapuuzwa na kuitwa wachochezi leo salma anaongea inaonekana la maana.tunahitaji kubadilika na kutenganisha ukweli na ushabiki
 
Te te te te te Hata wanaoishi IKULU nao wana malezi mabovu! Watoto wa Mkuruvuzi mbuzi kalambareli si ndo itakuwa balaa!
 
Na hakuna wa kumnyamazisha........Mama Maria......Mama Sitti na hata Mama Mkapa walibakia kuwa wake wa Marais.....huyu mmmh

Ambaye angeweza kumnyamazisha ni mvuruga nji namba moja. ticha angetumia muda wake kujipodoa au kushona wax zingine, hana la zaidi.
 
hapo chacha amshukuru mwaiki mkuu wa kigurunyembe by then ndo maana jk akumsahau kwenye ufalme wake
Matatizo ya waafrika siku zote ndio haya...Wakitoka au wkibebwa wakatoka wanawasahau na kwapondea wenzao....
Bila mukulu kumuona unafikiri si angekua labda pale manzese na yeye anakaanga maandazi??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…