KOMBAJR
JF-Expert Member
- Nov 15, 2011
- 5,827
- 1,271
wanajamvi katika kila mtu kutoa mawazo yake juu ya matokeo ya kidato cha nne kuwa mabaya nimekutana na twit ya first lady salmakikwete.matokeo ya form four yametokana na yanaashiria kuna sehemu katika malezi ya vijana wetu tunakosea kwa kiasi.......
Wadau wanauliza mwanaisha naye alidondokea kwenye hili? Kweli our first lady is thinking criticaly.
Cc.
Rirtz,chama,rejao
Wadau wanauliza mwanaisha naye alidondokea kwenye hili? Kweli our first lady is thinking criticaly.
Cc.
Rirtz,chama,rejao
Last edited by a moderator: