ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,553
Watu wapo hata ihefu ana wafuasi ....kumbuka kipigo huwa kinaakolezwa na watu wa benchi la ufundiWazo zuri hata mm nilikuwa nawaza hivi ila I'm afraid vipigo hivyo vitatokea pindi refa anapowazingua Simba au Yanga tu coz ndo watu pekee wenye mashabiki,Simba/Yanga ikibebwa mashabiki wa timu pinzani wa kumpiga refa wanatokea wapi?
Wapigwe tu maana hakuna namnaRefa atapatikana wapi wakati akimaliza mechi FFU wanamsubiri hapo na difenda wamtoe .
Faini za TFF na kuwafungia haisaidii pia maana anapigwa faini mil 1 wakati kahongwa zaidi ya hapo.
Labda faini iwe mil 5