ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,553
Nidhamu sasa imeshuka kwa waamuzi wetu licha ya maonyo na adhabu wanazopewa mara kwa mara hii yote sababu ya tamaa...hii inapelekea kudhoofisha maendeleo ya mpira wa miguu Tanzania.
Pendekezo langu ni kuwa pamoja na bodi ya ligi kuongeza kuwabana hawa waamuzi hebu sasa ile tabia ya miaka ya nyuma ya kuwaadabisha hawa waamuzi pale pale uwanjani baada ya kufanya upuuzi kama ule basi turejee huko ili kuulinda huu mchezo hadi hapo nchi itakapoingia ktk mfumo wa VAR technology bila hivyo hawataacha kusumbua hawa.
Nawasilisha.
Pendekezo langu ni kuwa pamoja na bodi ya ligi kuongeza kuwabana hawa waamuzi hebu sasa ile tabia ya miaka ya nyuma ya kuwaadabisha hawa waamuzi pale pale uwanjani baada ya kufanya upuuzi kama ule basi turejee huko ili kuulinda huu mchezo hadi hapo nchi itakapoingia ktk mfumo wa VAR technology bila hivyo hawataacha kusumbua hawa.
Nawasilisha.