Kinyonyoke
JF-Expert Member
- Oct 4, 2016
- 3,498
- 13,138
Naamini una umri mdogo bado. Ungekuwa na umri kiasi usingeweza kujisahaulisha yale ya mwaka 1998 kule Nchini Morocco Yanga ilipofungwa goli 6 - 0 na Raja Cassabranca.walipoitwa underdogs walichachamaa wkataka kufanya maandamano wakawa wanamuona shafii dauda mchawi lakini sasa ukweli wanao,hakyanan Simba angeshinda leo ningeacha kabisa kuangalia mpira,lakini kitu kimoja niwakumbushe watani na Haji Manara kuwa wa mbili havai moja,mchezo wa wanaume mvulana hauwezi lakini pia huu mchezo hauhitaji hasira.ni ushabiki tu anyways.
walipoitwa underdogs walichachamaa wkataka kufanya maandamano wakawa wanamuona shafii dauda mchawi lakini sasa ukweli wanao,hakyanan Simba angeshinda leo ningeacha kabisa kuangalia mpira,lakini kitu kimoja niwakumbushe watani na Haji Manara kuwa wa mbili havai moja,mchezo wa wanaume mvulana hauwezi lakini pia huu mchezo hauhitaji hasira.ni ushabiki tu anyways.
Povu lazima likutoke anyways wacha nikaoshee vyomboNaamini una umri mdogo bado. Ungekuwa na umri kiasi usingeweza kujisahaulisha yale ya mwaka 1998 kule Nchini Morocco Yanga ilipofungwa goli 6 - 0 na Raja Cassabranca.
Mwaka 2012 pale Taifa Yanga aliliwa goli 5 - 0 na Simba ya akina Emmanuel Okwi. Acha kujitoa ufahamu.
Kule Egypt 1982 Yanga walipigwa goli 5- 0 na Al Ahly zote hizo umezisahau. Duuuh
Na Ile Mechi ya mwaka 1977 yanga akifa goli 6 - 0 nayo?.
ACHA UPUMBAVU WAKO
Hahaha hayo yako sasa mkuu hapa Simba ndo habar ya mjiniChezea kimoja cha STENDI mpaka "koki" imetoka.
Mwali anakandwa maji bikra imetolewa na wapiga debe wa STENDI.
Ha ha ha haKariobangi Sharks 3 tena nyumbani. Halafu wanabana pua ohh tunaweza kuwakilisha Nchi. Fungwa nje lakini hata nyumbani hii ni dharau kubwa.Chura bwana.
Ha ha ha ha 🔊[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]vumbi la kongo
Sasa hili ni vumbi la Urabuni[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]vumbi la kongo
Sasa hili ni vumbi la Urabuni
Sent using my Iphone 6