Kinyonyoke
JF-Expert Member
- Oct 4, 2016
- 3,498
- 13,138
walipoitwa underdogs walichachamaa wkataka kufanya maandamano wakawa wanamuona shafii dauda mchawi lakini sasa ukweli wanao,hakyanan Simba angeshinda leo ningeacha kabisa kuangalia mpira,lakini kitu kimoja niwakumbushe watani na Haji Manara kuwa wa mbili havai moja,mchezo wa wanaume mvulana hauwezi lakini pia huu mchezo hauhitaji hasira.ni ushabiki tu anyways.