Ben Zen Tarot
JF-Expert Member
- Dec 13, 2014
- 4,298
- 7,612
- Thread starter
-
- #21
Sema tu ukweli kitimoto ndo chakula chako pendwa [emoji3][emoji3][emoji30][emoji44][emoji23][emoji23][emoji1787]Hatujaelewa mkuu
Rudia tenaa
[emoji6][emoji6][emoji6][emoji6][emoji6]Mungu anamaana yake pale alipotuambia tusile nguruwe sema binadamu wabishi tu
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Upo wapi tujumuike itapendeza sanaKama upo maeneo ya karibu tunaweza kujumuika wote ila msema kweli ni mpenzi wa Mungu
Alafu ukihoji wanakuwa wakali ndo maana me nimekuwa muwazi kwamba natumiaa lakini hainizuii kuongea ukweliiWalitaka wawe wanakula wenyewe kimya kimya[emoji1787]
Haya lete ukweli kuhusu nguruweeUkweli gani huo unao zungumza mi najua hujui chochote kuhusu nguruwe
[emoji44][emoji44][emoji44]ndo sifa alizopewa na mungu
Sio kazi yanguHaya lete ukweli kuhusu nguruwee
Alisema wapi, alimuumba wa niniMungu anamaana yake pale alipotuambia tusile nguruwe sema binadamu wabishi tu
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Me nipo kunduchi we upo wapii???Upo wapi tujumuike itapendeza sana
Nipo chuga panda ndege ujeMe nipo kunduchi we upo wapii???
Kunduchi wapi inapatikana kitimoto safi, nikiwaga huko nakulaga goba kinzudi Kuna sehemu ipo safi kabisa. Ningependa kubadili kijiwe nionje ladha tofautiMe nipo kunduchi we upo wapii???
Asipokuja nipo karibuNipo chuga panda ndege uje
Mkuu inaonekana jamaa amekukeraa[emoji2][emoji2]Alisema wapi, alimuumba wa nini
Sio kidogo, anatuharibia kitu yetu pendwaMkuu inaonekana jamaa amekukeraa[emoji2][emoji2]
Mmh! nifate kitimoto tuu au kuna mengine?Nipo chuga panda ndege uje
Nipitie hapa kambi ya chupaAsipokuja nipo karibu
Ndio maskani? I'll be there tomorrowNipitie hapa kambi ya chupa
Maneno tu ya watu yasio na uthibitisho wengine husema ukiweka mfupa wa nguruwe ndani kwako wachawi hawajiWatu wanasema eti watu wenye majini ndio mnaogopa kula nguruwe.
Ni kwa nini ukiwa na majini uogope kula nguruwe?
KaribuNdio maskani? I'll be there tomorrow