Zitambue sifa za Nguruwe

Zitambue sifa za Nguruwe

1. Tofauti na wanyama wengne ndio mwenye majina mengi duniani. Mimi ntataja machache tu kwenye orodha.

2. Mkuu wa meza bana hacheuwi

3. Vilevile nguruwe huyu akipata njaa akakosa chakula yeye hula watoto wake wote.

4. Kiti moto wazee anachuchu kama za mtu kabisa.

5. Nimwana Israel aloraniwa Jangwani akiwa na Mussa.

6. Huyu msyekere yeye nyama yake ukiweka juani anageuka kuwa funza kabisaaaa!

7. Ana sifa yakufa kizembe sana yani ukichoma udi kwenye banda lake unakuta mizoga baada ya mda mchache.

KUBWA KULIKO, MBUZI KATORIKI ANAINGIA BLID KABISA KAMA MWANADAMU

USIGUSE HATA MIZOGA YAO.View attachment 1816117
Mzee
Kuhusu kucheua ni kweli hacheui


Mengine ni chuki zako binafsi.

Jaribu kuukaa naye muyamalize
 
1. Tofauti na wanyama wengne ndio mwenye majina mengi duniani. Mimi ntataja machache tu kwenye orodha.

2. Mkuu wa meza bana hacheuwi

3. Vilevile nguruwe huyu akipata njaa akakosa chakula yeye hula watoto wake wote.

4. Kiti moto wazee anachuchu kama za mtu kabisa.

5. Nimwana Israel aloraniwa Jangwani akiwa na Mussa.

6. Huyu msyekere yeye nyama yake ukiweka juani anageuka kuwa funza kabisaaaa!

7. Ana sifa yakufa kizembe sana yani ukichoma udi kwenye banda lake unakuta mizoga baada ya mda mchache.

KUBWA KULIKO, MBUZI KATORIKI ANAINGIA BLID KABISA KAMA MWANADAMU

USIGUSE HATA MIZOGA YAO.View attachment 1816117
Mzee
Kuhusu kucheua ni kweli hacheui


Mengine ni chuki zako binafsi.

Jaribu kuukaa naye muyamalize
 
Baadae naenda kumtafuna
E1gl9.jpg
 
1. Tofauti na wanyama wengne ndio mwenye majina mengi duniani. Mimi ntataja machache tu kwenye orodha.

2. Mkuu wa meza bana hacheuwi

3. Vilevile nguruwe huyu akipata njaa akakosa chakula yeye hula watoto wake wote.

4. Kiti moto wazee anachuchu kama za mtu kabisa.

5. Nimwana Israel aloraniwa Jangwani akiwa na Mussa.

6. Huyu msyekere yeye nyama yake ukiweka juani anageuka kuwa funza kabisaaaa!

7. Ana sifa yakufa kizembe sana yani ukichoma udi kwenye banda lake unakuta mizoga baada ya mda mchache.

KUBWA KULIKO, MBUZI KATORIKI ANAINGIA BLID KABISA KAMA MWANADAMU

USIGUSE HATA MIZOGA YAO.View attachment 1816117
Hapo namba 6 ni umbeya mtupu wala hakuna ukweli wowote!!
 
1. Tofauti na wanyama wengne ndio mwenye majina mengi duniani. Mimi ntataja machache tu kwenye orodha.

2. Mkuu wa meza bana hacheuwi

3. Vilevile nguruwe huyu akipata njaa akakosa chakula yeye hula watoto wake wote.

4. Kiti moto wazee anachuchu kama za mtu kabisa.

5. Nimwana Israel aloraniwa Jangwani akiwa na Mussa.

6. Huyu msyekere yeye nyama yake ukiweka juani anageuka kuwa funza kabisaaaa!

7. Ana sifa yakufa kizembe sana yani ukichoma udi kwenye banda lake unakuta mizoga baada ya mda mchache.

KUBWA KULIKO, MBUZI KATORIKI ANAINGIA BLID KABISA KAMA MWANADAMU

USIGUSE HATA MIZOGA YAO.View attachment 1816117
Siku moja Jaribu uile hata kwa kujificha.
 
Mbona hata mbwa wanaenda mwezini. Mbwa pia wakifanyiwa inbreeding wanakula watoto zao!
 
Watu wanasema eti watu wenye majini ndio mnaogopa kula nguruwe.
Ni kwa nini ukiwa na majini uogope kula nguruwe?
Kwasababu ukila kitimoto yake majini yote yanadisolve tumboni, si ata yesu aliyatupa majini kwa nguruwe bila ya hivyo yangemrudia tu yule chizi.
Mnyama mtamu sana mwenye faida lukuki, kwenye ulimwengu wa kiroho huyu ni kama ak47
 
Kwasasa inajina jipya Nalo ni DAWA ,waislam ndowanatumia ,utasikia ile dawa tayari.hahaaaa kweli nguruwe mtamu hakwepeki
 
Back
Top Bottom