Zito Kabwe ni msaliti na adui wa Demokrasia Tanzania

Zito Kabwe ni msaliti na adui wa Demokrasia Tanzania

Zitto ana jambo lake,sijui nini?kama sio ubunge wa kuteuliwa anakimbilia uwaziri miezi sita ijayo.
Lakini kama atakosa kufanikisha hilo basi ujue ataanza kumuandama SSH.
 
Naona sasa nyie CHADEMA kumtaja Prof. Lipumba kwa ubaya ni ibada. Hivi wapinzani waliwahi kukubaliana jambo gani ambalo Lipumba akasaliti?

Kama unamaanisha makubaliano ya UKAWA yakupasa kuelewa Lipumba ndo muasisi wa harakati zile bali Mbowe na Maalim Seif ndo walifanya usaliti kwa kumpendelea mwana CCM Lowassa kutumia jukwaa kugombea urais tofauti na makubaliano yaliyowekwa.

Lakini yakupasa kuelewa kuwa Prof. Lipumba ndo kiongozi wa kwanza wa chama cha siasa kuweka msimamo wa kutoshiriki tena uchaguzi mara baada ya matokeo ya uchaguzi mkuu uliopita na CHADEMA wakafuata msimamo huo. Bali kwenye uchaguzi uliopita wa serikali za mitaa vyama vya upinzani vilitangaza kujiondoa na CUF pia iliondoa wagombea wake.

Unawezaje kumfananisha Lipumba na Zitto Kabwe? Hivi si Lipumba na Chama chake waliotoa msimamo wa kutoshirikiana na chama chochote ambacho kingesimamisha kada wa CCM kuwa mgombea urais katika uchaguzi mkuu uliopita? Hi si nyinyi CHADEMA ndo mulimuona Zitto na Maalim Seif waliomsimamisha mwana CCM Membe kuwa mgombea wa ACT wanawafaeni kushirikiana nao? Leo mnalalamika Zitto msaliti?

Acheni unaafiki! Acheni ubaya!

Lipumba hana tena chama mkuu
 
Zitto ni ndumila kuwili - watu kama hawa huwa wapo toka shule ya msingi...mnatoroka wote kwenda chimbo kisha anakwenda kutoa data zote kwa mwalimu wa zamu mlitorokea - mlikuwa wangapi na mmefanya nini...watu kama hawa enzi hizo ni kumwita mafichoni (chimbo) wakati wa mapumziko kula kichapo saana!!

Kwa sasa, kazi kwenu watanzania wapenda demokrasia - mtafutieni adhabu kwa haya anayowafanyia.
 
Ukiangalia muendelezo wa mateso ya Upinzani wa ukweli Tanzania hasa CHADEMA, Zitto na Chama chake hawajawahi kuguswa. Ni maneno tu lakini CCM haimgusi.

Zitto Kabwe hana ushirikiano na wapinzani. Siku zote ni SNITCH. Wapinzani wanapoelewana au kuafikiana, yeye Kama Lipumba, anakuja na mchanga na kumwaga kwenye wali. Wapinzani wanapokataa kushiriki uchaguzi wowote hadi tume, huru yeye ni wakwanza kushiriki uchaguzi. Kwa kifupi ni mbinafsi ambaye haeleweki. Zitto anatumika !

Uchaguzi ulioisha Muhambwe, wapinzani waligoma kushiriki, Yeye kashiriki. Leo Asubuhi aliitangazia dunia amegundua Kura feki na maisha yaka yako hatarini, Jioni anaipongeza CCM. Siku zote yeye anafanya vitu kinyume.

Huyu tu ni Kitengo cha CCM. Anatuadaa. Tumkatae na tukimuendekeza, kiu yetu ya TUME huru itabakia kuwa ndoto. Watanzania itabidi tumdhibiti huyu YUDA ISKARIOTI !
Kwani umelazimishwa kuungana nae?
Kesho tu akisema neno unalo ona linaishambulia serikari utakuja hapa kumsifia.
 
Tatizo la Chadema ya sasa imekosa ustarabu yaani siasa zao tangu aondoke Dr. Slaa zimekuwa za hasira sana badala ya hoja, Mbowe amekuwa mstarabu sana ila amezidiwa na wanaomzunguka wengi sio wastarabu, hii imepelekea wananchi wengi kuwaona chadema kama sio wazalendo hasa kipindi cha JPM kutokana na siasa zao za kupinga kila jambo.

Zito Kabwe ni mwanasiasa mzuri sana ila amekuwa haeleweki eleweki. Kuna awamu anakuwa mkali sana na hukemea na kupinga mambo mengi hata yenye manufaa kwa Taifa, ila kuna awamu ikifika ukosoaji wake unapungua utadhani yeye sio mpinzani tena.

Pamoja na kuwa Dr. Slaa yupo CCM kwa sasa ila wanachi wengi wanamuamini kwamba ndiye mpinzani wa kweli kutokana na misimamo na uzalendo wake.
Dr Slaa ni mwanasiasa mzuri sana
 
Kwani si mlishamfukuza CDM mwacheni afanye yake na nyinyi fanyeni yenu
 
Zitto ni mdini sana ndugu zangu. Ndiyo maana leo matpkeo yoote kayakubali bila malalamiko hasi. Leo hii hii ukibadili jina la mama akawa Adela Zittp atakataa matokeo
Sahihi!
Na amekubali ili ionekane mambo yamebadilika
 
chadema ukiwa kinyume na wao wewe NI ADUI.
yaani wao wanaona wako SAHIHI SANA.
na hawana urafiki wa kudumu
 
Na nyie makamanda uchwara hamjielewi.
Mkuu
Magonjwa Mtambuka, imekuwaje kada kindakindaki mwenzio johnthebaptist siku hizi anamwelezea vibaya hayati JPM wakati alikuwa mstari wa mbele kumpamba kwa udi na uvumba hata kuhimiza serrikali nzima ihamie Dodoma, leo hii inadai Rais abaki DSM na huko DODOMA abaki makamu wa Rais na Waziri mkuu?

Unamfahamu huyu mtu, naamini ulishawahi kukutana naye sehemu mbalimbali maana mijoka ya midimu kwa sasa imegeuka majoka yenye sumu kali yanatema bila hofu

johnthebaptist, jitokeze hadharani ili kuonesha kweli wewe ni jasiri wa kukana misimamo ya zamani (If at all you have guts to punch the technical jab
 
Mkuu
Magonjwa Mtambuka, imekuwaje kada kindakindaki mwenzio johnthebaptist siku hizi anamwelezea vibaya hayati JPM wakati alikuwa mstari wa mbele kumpamba kwa udi na uvumba hata kuhimiza serrikali nzima ihamie Dodoma, leo hii inadai Rais abaki DSM na huko DODOMA abaki makamu wa Rais na Waziri mkuu?

Unamfahamu huyu mtu, naamini ulishawahi kukutana naye sehemu mbalimbali maana mijoka ya midimu kwa sasa imegeuka majoka yenye sumu kali yanatema bila hofu

johnthebaptist, jitokeze hadharani ili kuonesha kweli wewe ni jasiri wa kukana misimamo ya zamani (If at all you have guts to punch the technical jab
Sasa unaniuliza mimi ili iweje?
 
Sasa unaniuliza mimi ili iweje?
Mbona unajibu kwa ukali? Hizi ni dalili za chama chenu kwenda kuparaganyika na kusambaratika muda sio mrefu maana kwa sasa mnafuata maslahi binafsi. Kwanini unajibu kwa ukali wakati unaombwa kusaidia ufafanuzi kuhusiana na utata wa mwenendo wa huyo mdau wenu?
 
Niliwahi kuandika humu Bwana Mdogo imani imani anaitumia ndivyo sivyo
Yeye na mwendazake wa kisiwani walikuwa na jambo
Ukisikia misimamo kama misimamo
Aliondoka cdm kuamini ni chama cha msalaba
Tumuogope Mungu bandugu
Yajayo yatawachukiza wengi
Hahahhh eti Adela....
Asante sana mkuu
Kwa kuweka wazi.

Hapa ndipo wafuasi wengi wa Chadema wanapomchukia Zitto.

Tatizo la wafuasi wa chadema kwa Zitto sio siasa ni dini yake.
 
Zitto ni mdini sana ndugu zangu. Ndiyo maana leo matpkeo yoote kayakubali bila malalamiko hasi. Leo hii hii ukibadili jina la mama akawa Adela Zittp atakataa matokeo
Suala la udini ni KUMSINGIZIA....

MDINI ni wewe na upumbavu wako.....

#SiempreTanzania
 
Lipumba hana tena chama mkuu
Unamaanisha wanafiki walimuhama Lipumba kwenye chama cha CUF na kwenda kujiunga na wenzao kina Zitto huko ACT? Au unamaanisha nini mkuu kwa kusema Lipumba hana chama tena?
 
Back
Top Bottom