Zito kulamba dume tena?Tundu Lisu + ACT wazalendo (Zito), Kuwa chama mbadala wa CCM? Ukawa kurejea kivingine?

Zito kulamba dume tena?Tundu Lisu + ACT wazalendo (Zito), Kuwa chama mbadala wa CCM? Ukawa kurejea kivingine?

Mejasoko

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2019
Posts
298
Reaction score
600
1.Pata picha Tundu Lisu akasepa na Kijiji chake ACT Wazalendo, wataungana na Zito, Lisu akagombea uraisi akashinda, Zito waziri mkuu, Zanzibar Jusa Raisi Visiwani, hakika itakuwa serikali mbadala kabisa kwa utawala wa muda mrefu wa chama cha kijani.

2. Wasiposhinda uchaguzi wa Rais ACT inakwenda kuwa chama kikuu cha upinzani na hivyo Mbowe na Chadema yake wanadoda ni Kama vile CUF ilivyopoteza uhai wake na kujinufaisha ACT

3. Zito Kabwe anayo haja ya kutumia turufu hii ya Lisu kumpeleka ACT na hivyo atakuwa ame "Win the War" baada ya Mentor wake Mbowe ku "Win The Battle" kwa muda

4. Mbowe alimuogopa Zito kwenye sanduku la kura alitegea busara za wazee my take this time anaenda kupoteza na hakuna any Come Back.

5. Zito Kabwe na Tundu Lisu wapinzani halisi, Mbowe Alikua Secret Service Agent ambaye anakwenda kustaafu kwa aibu
Bob Marley quote " You Can Fool Some People For Sometime But You Can't Fool All People All Over The Time"

6. 2025 Anahitajika Rais ( Kiongozi) Mtanganyika Aliyezaliwa baada ya Uhuru hivyo
Samia Must Go, Mbowe Must Go

7. Reform is Must, Katiba Mpya ni Jibu
 
Kwa Zanzibar Jussa hawezi kuwa rais,kwa sababu zile zile zilipelekea Maalim Seif,anashinda lakini hatangazwi
P
This time Mkapa hayupo mwenye maamuzi magumu juu ya uchaguzi na too bad Magufuli is no more, uchaguzi wa bara ukiwa na mikikimikiki ya 2015 Zanzibar kitakua ni kitendawili kigumu sana.
 
This time Mkapa hayupo mwenye maamuzi magumu juu ya uchaguzi na too bad Magufuli is no more, uchaguzi wa bara ukiwa na mikikimikiki ya 2015 Zanzibar kitakua ni kitendawili kigumu sana.
Kitendawili cha rais wa 2025 from both sides JMT na ZNZ
nilikitegua kwenye HII
P
 
Kwa Zitto ambaye inasemekana ni kibaraka pia wa CCM atakuwa anajichosha tu bure! Afadhali abakie tu CHADEMA

Kama yupo serious zaidi waungane wote wenye misimamo dhabiti ndani ya CHADEMA waanzishe chama mbadala, angalau wataeleweka!!
Kwenye siasa hakuna rafiki Wala adui wa kudumu mkuu hesabu zikibalance jambo linakua tu
 
Kwa Zitto ambaye inasemekana ni kibaraka pia wa CCM atakuwa anajichosha tu bure! Afadhali abakie tu CHADEMA

Kama yupo serious zaidi waungane wote wenye misimamo dhabiti ndani ya CHADEMA waanzishe chama mbadala, angalau wataeleweka!!
hapo kwenye kuwapata hao wakuungana naye wenye msimamo kama yeye wasionunulika wanaoweza kukataa rushwa wanaoweza kuhimili mikiki na vishindo hata kwa robo ya kiwango chake ndio pagumu hapo.
Inawezekana hakuna mwanasiasa mwingine mwenye msimamo kama wake au hata robo yake...
 
Back
Top Bottom