MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,661
- 21,656
Zitto Kabwe kamaliza kuhesabiwa adai ana furaha kubwa Sana baada ya kupokea ujumbe wa simu kutoka kwa rais Samia ambapo naye aliuforward kwa M/ Kiti Mbowe incase Kama hakupata wake, pia amewataka wananchi na wanachama wa ACT kujitokeza kuhesabiwa.