Zitto ahesabiwa, ampa tano Rais Samia

Zitto ahesabiwa, ampa tano Rais Samia

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2015
Posts
6,661
Reaction score
21,656
FB_IMG_16612690890957621.jpg
Zitto ahesabiwa ampa tano Rais Samia.

Zitto Kabwe kamaliza kuhesabiwa adai ana furaha kubwa Sana baada ya kupokea ujumbe wa simu kutoka kwa rais Samia ambapo naye aliuforward kwa M/ Kiti Mbowe incase Kama hakupata wake, pia amewataka wananchi na wanachama wa ACT kujitokeza kuhesabiwa.
 
Back
Top Bottom